Upinzani Haukuanzishwa ili Kuchukuwa Dola!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817
Upinzani ulianzishwa ili uwe kama msimamizi wa Serikali ya chama Dola, na siyo kama wengi wanavyotumia nguvu nyingi kuota na kuamini kwamba Upinzani utakuja kuongoza TZ kwa maana ya kushika Dola TanZania, hilo halitatokea!

Hata hivyo nawapongeza sana Upinzani kwa kuitambua nafasi yao kama watu wa kuikumbusha na kuirudisha Serikali kwenye mstari hasa pale inapotoka nje kama walivyofanya sasa hivi!
Sasa wanaweza (Upinzani) kuchill na kurelax mpaka pale Chama Dola kitakapotoka nje tena nje ya mstari na ambapo kazi yao (upinzania) itahitajika tena!
 
Upinzani ulianzishwa ili uwe kama msimamizi wa Serikali ya chama Dola, na siyo kama wengi wanavyotumia nguvu nyingi kuota na kuamini kwamba Upinzani utakuja kuongoza TZ kwa maana ya kushika Dola TanZania, hilo halitatokea!

Hata hivyo nawapongeza sana Upinzani kwa kuitambua nafasi yao kama watu wa kuikumbusha na kuirudisha Serikali kwenye mstari hasa pale inapotoka nje kama walivyofanya sasa hivi!
Sasa wanaweza (Upinzani) kuchill na kurelax mpaka pale Chama Dola kitakapotoka nje tena nje ya mstari na ambapo kazi yao (upinzania) itahitajika tena!

Pole sana maana hujui ulichochangia - yaani uko off point!
 
wewe Lowasa angekufaa zaidi! Kwa mfano chadema wangeshinda ccm wangekuwa wapinzani pamoja na vyama vingine ili waisimamie serikali ya cdm!
 
Dr Slaa angeliweza kutwaa dola....vile alivyo na misimamo na mitazamo yakinifu katika kusimamia yale ayapendayo....

Shida sasa amewaachia wajasiriamali siasa. ..hakuna Sera, dira wala muelekeo chanya ambao unaokinzana na wa chama dola bila ya kuleta athari na wenye umajinui wa kuvutia makundi yote
 
Back
Top Bottom