Tanzania na Zimbabwe ndizo nchi pekee zilizobaki hapa duniani zenye binadamu wa kale tena wenye IQ ndogo,miongoni Mwao ndio wale wakisikia Kinana amejamba wanampa pole eti ameumia!
Ndiyo ilivyokuwa hata 2011 General Election ambapo Yoweri Kaguta Museveni na chama chake tawala cha National Resistance Movement party (NRM) walipata ushindi.
Point ninayotaka kusema, hiyo siyo dawa ya kuzuia uchakachuaji wa kura, ila inaweza kusaidia kwa kiwango fulani.
Siri ya ushindi wa Brenda Nabukenya ni vyama vikubwa vya upinzani viliunganisha nguvu na kumuweka huyu mwana dada kwa vile alishinda hata uchaguzi wa kwanza na mahakama ikaamua urudiwe tena.
Kitu kingine kilichosaidia ni kwa baadhi ya viongozi mashuhuri kutoka chama cha Yoweri Museveni kama aliyekuwa Makamu wa Rais, Prof. Gilbert Bukenya kupiga kampeni za kutaka achaguliwe huyu mwanadada, Brenda Nabukenya. Ushindi wa kwanza kulikuwa na tofauti ya kura 30 lakini uchaguzi wa sasa baada ya kupata msaada wa political heavyweight, tofauti ya kura imeongezeka na 16,000,
Mimi huwa ninashangazwa na baadhi yetu Watanzania tunapoanza kutoa mifano ya kisiasa ya nchi mbali mbali za Afrika na kuanza kujilinganisha nazo.
Nchi za East Afrika ziko tofauti sana kwenye mambo ya siasa achilia mbali kulinganisha na nchi zote za Africa. Siasa za Kenya huwezi kulinganisha na siasa za Tanzania. Vivyo hivyo kwa siasa za Uganda, Rwanda, Burundi na Congo
Nchi za Kiafrika zinaweza zikawa zinashabihiana sana kwenye maswala ya kijamii, lakini linapokuja swala la kisiasa, zinakuwa na tofauti sana.
Tanzania na Zimbabwe ndizo nchi pekee zilizobaki hapa duniani zenye binadamu wa kale tena wenye IQ ndogo,miongoni Mwao ndio wale wakisikia Kinana amejamba wanampa pole eti ameumia!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.