Upi utamaduni wa kabila lenu?

Upi utamaduni wa kabila lenu?

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,324
Reaction score
2,494
Yapo matukio mengi duniani yanayoashiria ni msimu fulani umefika
1. Kombe la dunia
2. Olmpic
3. Ligi kuu tz
4. Wachaga kwenda kuhesabiwa mwisho wa mwaka
5. Kipindi cha masika au kiangazi, na mengineyo mengi.

Je ni tukio gani linaloashiria kabila lenu lipo? Kama unapofika msimu wa wachaga kwenda kuhesabiwa?
 
Hili tukio la wachaga kwenda kuhesabiwa huwa linatamkwa sana kipindi kikifika. Yafaa liwekwe kwenye kalenda zetu!
 
sirluta umefilisika kimaadili na umepayuka kisiasa. huna lakuongea ila ukabila ? hamia Kenya kwenye wakabila sie tz dugu moja
 
Hakuna cha ukabila hapa, tafuteni cha kwenu na nyie japo tuwasemeseme kama mnavotusema wachaga!
 
Wakwere wanaongea sana 2 wazaramo wanauza shamba kumcheza mwali
 
Teh ha ha ha ha ha ha kwi kwi kwi kwi.
Ukabila ? Unamsaada gani kwasasa.
 
Hahahaha....watu wanajua kubaka mada! Kama hujaelewa c dhambi kuuliza! Utajibiwa tu. Mbona wengine wameelewa? Hata picha inakushinda kutizama!
 
mifano mingi au yote uliyotoa (ispokua huo mmoja wa wachaga) haina uhusiano na makabila, kisha swali lako ukalielekeza ktk makabila! Nadhani si vibaya na majibu yakawa katika mtindo huohuo.
1) uchaguzi kila baada ya miaka mitano
 
mifano mingi au yote uliyotoa (ispokua huo mmoja wa wachaga) haina uhusiano na makabila, kisha swali lako ukalielekeza ktk makabila!? Una lako jambo
 
Wakurya kukeketa,Wanyalu kujinyonga na kula dog.
 
Back
Top Bottom