miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Hivi Tanzania inakaa wachaga tu, wengine huwa hawaendi makwao kipindi cha sikukuu?
wanaenda sana ila wamekaririshwa kuwa wachagga ndo sana
Hivi Tanzania inakaa wachaga tu, wengine huwa hawaendi makwao kipindi cha sikukuu?
wazungu wanaenda chooni chumbani badala ya migombani kama wachagga
wanaenda sana ila wamekaririshwa kuwa wachagga ndo sana
Wachagga ni kama Wana wa Israeli..