Kaz nyingi tu kama unavyokuwa unaongea na simu umeiweka sikion alaf unaona kioo kinazima ili sikio lisije likafanya interaction na kuoo cha simu. Kucontrol mwanga kweny display mfano unaenda njee alaf unaona simu inajiongeza mwanga alafu ukikaa ndan inajipunguza mwanga ni kaz ya sensor
Kama davibby alivyosema baadhi ya sensors. Pia kuna sensor inayosaidia kutambua uelekeo wa wa simu ka umeilaza au umeisimamisha wima ili kioo kibadilike Landscape au Potrait. Pia kuna finger print sensor kwaajili ya security