Upi ukweli kuhusu Mzee Nyerere na Mzee Kenyatta?

SONGOKA

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
1,843
1,841
Viongozi wetu wa kitaifa wamekuwa wakipambanua eti Mwalimu na Mzee Kenyatta walikuwa Marafiki.

Lakini pia wazee waliokuwa karibu na Mwalimu wamekuwa wakitwambia kuwa Nyerere hakuwahi kabisaa kuwa Rafiki ya Kenyatta, si tu personally bali hata ideologically.

Na kuna mmoja alinidokeza kuwa eti Mzee Kenyatta aliibeza sana vita ya KAGERA wakati tunaingia kumfukuza nduli.

Hivi ukweli kuhusu hili ni upi? Je Ni kweli eti Mwalimu Nyerere alikuwa rafiki na Mzee Kenyatta kama inavyopigiwa chapuo na hawa viongozi wa siasa, au haikuwa hivyo?

Na kama haikuwa hivyo kwa nini tunamsingizia?? Mbona Idd Amini tunaona sifa kusema alikuwa adui ya Mwalimu Nyerere?
 
Viongozi wetu wa kitaifa wamekuwa wakipambanua eti Mwalimu na Mzee Kenyatta walikuwa Marafiki.

Lakini pia wazee waliokuwa karibu na Mwalimu wamekuwa wakitwambia kuwa Nyerere hakuwahi kabisaa kuwa Rafiki ya Kenyatta, si tu personally bali hata ideologically . Na kuna mmoja alinidokeza kuwa eti Mzee Kenyatta aliibeza sana vita ya KAGERA wakati tunaingia kumfukuza nduli.

Hivi ukweli kuhusu hili ni upi?? Je Ni kweli eti Mwalimu Nyerere alikuwa rafiki na mzee Kenyatta kama inavyopigiwa chapua na hawa viongozi wa siasa, au haikuwa hivyo??

Na kama haikuwa hivyo kwa nini tunamsingizia?? Mbona idd Amini tunaona sifa kusema alikuwa adui ya mwalimu nyerere??
Kenyata aliibeza vita ya Kagera mwaka gani?
 
Nyerere: Mbona kwako fujo na migogoro haiishi?
Kenyatta: Mimi naongoza watu wanaojitambua. Were unaongoza***** ndio maana wako kimya.
 
U
Viongozi wetu wa kitaifa wamekuwa wakipambanua eti Mwalimu na Mzee Kenyatta walikuwa Marafiki.

Lakini pia wazee waliokuwa karibu na Mwalimu wamekuwa wakitwambia kuwa Nyerere hakuwahi kabisaa kuwa Rafiki ya Kenyatta, si tu personally bali hata ideologically . Na kuna mmoja alinidokeza kuwa eti Mzee Kenyatta aliibeza sana vita ya KAGERA wakati tunaingia kumfukuza nduli.

Hivi ukweli kuhusu hili ni upi?? Je Ni kweli eti Mwalimu Nyerere alikuwa rafiki na mzee Kenyatta kama inavyopigiwa chapuo na hawa viongozi wa siasa, au haikuwa hivyo??

Na kama haikuwa hivyo kwa nini tunamsingizia?? Mbona idd Amini tunaona sifa kusema alikuwa adui ya mwalimu nyerere??
Ulitakiwa kumuuliza huyo tapeli wako mzee kuhusu hiyo vita ya Kagera ilitokea mwaka gani kabla ya kuja kujiaibisha hapa
 
ITS ALLEGED : 1978 wakati mwalimu akifikiria kumvamia AMIN
Una uhakika na unachokiandika? Nyerere alimvamia Amini una miaka mingapi wewe nadhani wewe ni kati ya watu wanaitwa nyumbu mnaamini kila mnachoambiwa na watu bila kuchunguza.
 
Una uhakika na unachokiandika? Nyerere alimvamia Amini una miaka mingapi wewe nadhani wewe ni kati ya watu wanaitwa nyumbu mnaamini kila mnachoambiwa na watu bila kuchunguza.
don't be stupid, Mzee Kenyatta kafariki august 1978 but chokochoko za idd amini zilikuwa zishaanza kitambo na nyerere hakuwa anafurahishwa, while seeking support from his east African peers its alleged that Kenyatta insulted him.
 
Mimi ninavyojua viongozi wa tanzania na kenya wanaishi kwa kuviziana tangu zamani.kila mmoja anasema lafiki wa mwingine,lakini unaona kabisa kwenye mioyo yao ,hawana ule Ulafiki wa kumbikumbi.kila mmoja anawasiwasi na mwingine.hii ni tangu waasisi hadi wasasa.
 
Nasikia kuna nondo moja Kenyata alimpa Nyerere ilikuwa kali sana.....hadi Nyerere kwa hasira akamjibu Kenyeta.... wewe ni NYANG'AU TU.
 
Back
Top Bottom