Mkwaha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2012
- 1,688
- 3,170
ITIFAKI IMEZINGATIWA.
Utangulizi: Kwenye Mchezo Wa Mpira Wa Miguu Baada Ya Mashindano Kumalizika Mshindi Hupewa Zawadi Ya Pesa Na Kikombe.
Swali: Kile Kikombe Anacho Pewa Mshindi Huwa Ni Mali Ya Team Husika Moja Kwa Moja?.
Kama Hakiwi Mali Ya Timu Husika mbona Kuna Team Wanamiliki Vikombe Mbali Mbali Kwenye Kabati Zao?.
Nilipata Kusikia Kwamba Timu Ikichukua Kikombe Mara Tatu Mfululizo Basi Timu Hiyo Itapewa Hicho Kikombe Moja Kwa Moja na Chama Cha soka kitatengeneza kombe lingine je kuna ukweli gani juu ha hili?
Naomba Kuelimishwa Juu Ya Hili Kama Kuna Sehemu Sijaeleweka Naomba Niwekwe Sawa Maana Kuandika Ni Fani Za Watu.
Utangulizi: Kwenye Mchezo Wa Mpira Wa Miguu Baada Ya Mashindano Kumalizika Mshindi Hupewa Zawadi Ya Pesa Na Kikombe.
Swali: Kile Kikombe Anacho Pewa Mshindi Huwa Ni Mali Ya Team Husika Moja Kwa Moja?.
Kama Hakiwi Mali Ya Timu Husika mbona Kuna Team Wanamiliki Vikombe Mbali Mbali Kwenye Kabati Zao?.
Nilipata Kusikia Kwamba Timu Ikichukua Kikombe Mara Tatu Mfululizo Basi Timu Hiyo Itapewa Hicho Kikombe Moja Kwa Moja na Chama Cha soka kitatengeneza kombe lingine je kuna ukweli gani juu ha hili?
Naomba Kuelimishwa Juu Ya Hili Kama Kuna Sehemu Sijaeleweka Naomba Niwekwe Sawa Maana Kuandika Ni Fani Za Watu.