Upgrade Android

Upgrade Android

Nafikiri Zaidi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
516
Reaction score
686
Nina TECNO H5 na android version yake ni 4.2 Jelly Bean...Je, kuna uwezekano wa kuipeleka Version nyingine yani Android 4.4 Kit Kat???
Kwa anaejua tafadhali
 

Attachments

  • 1444706511492.jpg
    1444706511492.jpg
    28.5 KB · Views: 197
Nina TECNO H5 na android version yake ni 4.2 Jelly Bean...Je, kuna uwezekano wa kuipeleka Version nyingine yani Android 4.4 Kit Kat???
Kwa anaejua tafadhali

labda kama utapata custom rom
ila kwa official update hakuna kitu kama hiko.
Hpo ndo tunapo kataa simu za mediatek zikiongozwa na tecno.
 
labda kama utapata custom rom
ila kwa official update hakuna kitu kama hiko.
Hpo ndo tunapo kataa simu za mediatek zikiongozwa na tecno.

even custom rom zinakuwa fake, sababu mediatek hatoi source code. unapewa custom rom ya version ya juu lakini ukitaka kueka apps za hio version zinakataa
 
even custom rom zinakuwa fake, sababu mediatek hatoi source code. unapewa custom rom ya version ya juu lakini ukitaka kueka apps za hio version zinakataa


ndo shida hiyoo..ndio mana hata kukuta custom rom zake ni issue na hata ukipata inakua sio stable kabisa.
 
custom rom za tecno kuzipata ni majanga.... nakumbuka niliwah pataga moja tu ya tecno m3 nayo sio official
 
ndo shida hiyoo..ndio mana hata kukuta custom rom zake ni issue na hata ukipata inakua sio stable kabisa.
Most of the time inakuwaga ni ileile stock rom lakini wanabadilisha icons na launchers na kukuwekea apps kibao zisizo na maana.
Mfano hii ilikuwa ni custom rom za akina tecno p3 na n3 kipindi hicho

images
 
Back
Top Bottom