mjanjamjanja
Member
- Feb 11, 2014
- 32
- 2
Wadau huku maeneo ya kinondoni mpaka mwananyamala kuna upepo mkali sasa hivi.je maeneo yenu yakoje tuhabarishane.
Huku boko upepo sio mkali ila kuna vidudu vinang'ata balaa.. vimenikurupusha usingizini, sijui vinapitaje kwenye neti. ..hapa imebidi tuamke tutoke chumbani tunasubiri harufu ya dawa ya mbu iishe!!!
Daah pole. Unalala peke yako?Mimi naogopa jamani, hata siwezi kulala na hii hali radi, vimulimuli bora mvua muda huu Tabata Segerea imekatika.
Tanesco washafanya yao.
usongizi umekata aisee hiii mvua sio mchezo hapalaliki ndugu yangu maana ni balaa. tupu
Huku boko upepo sio mkali ila kuna vidudu vinang'ata balaa.. vimenikurupusha usingizini, sijui vinapitaje kwenye neti. ..hapa imebidi tuamke tutoke chumbani tunasubiri harufu ya dawa ya mbu iishe!!!
Mimi naogopa jamani, hata siwezi kulala na hii hali radi, vimulimuli bora mvua muda huu Tabata Segerea imekatika.
Tanesco washafanya yao.
Mimi naogopa jamani, hata siwezi kulala na hii hali radi, vimulimuli bora mvua muda huu Tabata Segerea imekatika.
Tanesco washafanya yao.