Upeo wa kisiki cha mpingo ni Kanda ya Kusini tu

MwanaPekee

JF-Expert Member
Jul 18, 2014
382
385
Jana Kisiki cha Mpingo kimepokelewa ACT-Wazalendo, na leo hii kimechukua fomu za kugombea Urais kupitia chama hicho. Katika hotuba yake wakati kikipokelewa ndani ya chama hicho, mbali na makosa ya ufahamu wa mahali kilipo, kilionesha uelewa mdogo sana wa Tanzania hii. Mara zote kikitoa solution za matatizo ambayo kilidai yapo, kili-base zaidi kwenye Mikoa ya Kusini mwa Tanzania. Kilipotoka sana, kiliishia Bagamoyo Pwani. Muda si mrefu utamezeshwa mambo ya Kigoma na Pemba, ukajiona ume-address changamoto za Tanzania nzima.

Tanzania tunamtaka Rais mwenye uwezo wa ku-address matatizo ya Tanzania na si Kanda fulani pekee. Kisiki kikingiia Ikulu kimesema kuwa kitajikita kwenye Korosho, Mbaazi, Gesi, na Bandari ya Bagamoyo pekee. Na muda wote kimekuwa kikiwashukuru wananchi wa Kusini na hasa Kijijini kwake Rondo kwa support. Nikikumbushe tu kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa sana, katika watia nia wote ni JPM pekee ambaye hata akiongea tu mtu unaelewa kuwa anaifahamu Tanzania. Na kwa miaka mitano tumeshuhudia Kanda zote zikiwa zimechangamka kwa projects mbalimbali zenye Tija.

FYI, hizo zote ambazo wewe umeona kama ndiyo mtaji wako, zimeshafanyiwa kazi na zinaendelea kufanyiwa kazi na serikali hii, na ndio maana Wana-Ruangwa wameamua kumpitisha bila kupingwa PM Majaliwa Kassim Majaliwa kama Mgombea wao.

Kisiki wewe ni dhaifu sana, na huielewi Tanzania hii; Magufuli ni ubiquitous kwenye nchi hii.
 
Kumbe pamba inalimwa pia mikoa hiyo! Acha unafiki kaka inawezekana wasiwasi uliona madifi yanagonga gonga pichu hapo!
 
Jana Kisiki cha Mpingo kimepokelewa ACT-Wazalendo, na leo hii kimechukua fomu za kugombea Urais kupitia chama hicho. Katika hotuba yake wakati kikipokelewa ndani ya chama hicho, mbali na makosa ya ufahamu wa mahali kilipo, kilionesha uelewa mdogo sana wa Tanzania hii. Mara zote kikitoa solution za matatizo ambayo kilidai yapo, kili-base zaidi kwenye Mikoa ya Kusini mwa Tanzania. Kilipotoka sana, kiliishia Bagamoyo Pwani. Muda si mrefu utamezeshwa mambo ya Kigoma na Pemba, ukajiona ume-address changamoto za Tanzania nzima.

Tanzania tunamtaka Rais mwenye uwezo wa ku-address matatizo ya Tanzania na si Kanda fulani pekee. Kisiki kikingiia Ikulu kimesema kuwa kitajikita kwenye Korosho, Mbaazi, Gesi, na Bandari ya Bagamoyo pekee. Na muda wote kimekuwa kikiwashukuru wananchi wa Kusini na hasa Kijijini kwake Rondo kwa support. Nikikumbushe tu kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa sana, katika watia nia wote ni JPM pekee ambaye hata akiongea tu mtu unaelewa kuwa anaifahamu Tanzania. Na kwa miaka mitano tumeshuhudia Kanda zote zikiwa zimechangamka kwa projects mbalimbali zenye Tija.

FYI, hizo zote ambazo wewe umeona kama ndiyo mtaji wako, zimeshafanyiwa kazi na zinaendelea kufanyiwa kazi na serikali hii, na ndio maana Wana-Ruangwa wameamua kumpitisha bila kupingwa PM Majaliwa Kassim Majaliwa kama Mgombea wao.

Kisiki wewe ni dhaifu sana, na huielewi Tanzania hii; Magufuli ni ubiquitous kwenye nchi hii.
Kwani ile hotuba ulisikiliza peke yako? Membe kaongea facts zaidi kuliko yule Doctor wenu. membe ameongea Ki professor zaidi kuliko huyo PhD wenu
 
Mziki wa Lowassa mbona ulikuwa cha mtoto...mziki huu unakesha hadi asubuhi dadadeq...

Lissu, Membe, Mbowe, Zito, Nyalandu, Maalim Self...Jukwaa moja!!

Mtu atazimia...!!
 
Kwani ile hotuba ulisikiliza peke yako? Membe kaongea facts zaidi kuliko yule Doctor wenu. membe ameongea Ki professor zaidi kuliko huyo PhD wenu

Eti kiprofesa, My God, My Lord! Mtu hajui hata kama yuko wapi unasema anaongea kipro. Credit anatoa kwa UWT na CDM unasema anaongea kipro? Yaani hana hata kumbukumbu, na ndio maana recently alisema Lowassa amehamia upinzani mwaka 2010. Lakini yawezekana anaowahutubia wana akili kama zake au chini yake, na ndio maana wanaona anaongea kipro. Ana ubongo mwembamba sana, hajui kitu na nakuambia ile siku hata Mwenge hawakujua kinachoendelea M/City
 
Eti kiprofesa, My God, My Lord! Mtu hajui hata kama yuko wapi unasema anaongea kipro. Credit anatoa kwa UWT na CDM unasema anaongea kipro? Yaani hana hata kumbukumbu, na ndio maana recently alisema Lowassa amehamia upinzani mwaka 2010. Lakini yawezekana anaowahutubia wana akili kama zake au chini yake, na ndio maana wanaona anaongea kipro. Ana ubongo mwembamba sana, hajui kitu na nakuambia ile siku hata Mwenge hawakujua kinachoendelea M/City
Tengeneza point, ueleweke, siyo kutukan. point za membe very reasonable (theoretical ); very correct. Maybe Jiwe on the ground yupo saw; cha kujiuliza je Membe anaweza kutengeneza hoja kama hizi na kuzitekeleza on the ground- practically?
diffference =>> Tunataka furaha + human rights + maendeleo. Jiwa hakuna furaha+ no human rights, Membe promised! We can try him! Why not?
 
Jana Kisiki cha Mpingo kimepokelewa ACT-Wazalendo, na leo hii kimechukua fomu za kugombea Urais kupitia chama hicho. Katika hotuba yake wakati kikipokelewa ndani ya chama hicho, mbali na makosa ya ufahamu wa mahali kilipo, kilionesha uelewa mdogo sana wa Tanzania hii. Mara zote kikitoa solution za matatizo ambayo kilidai yapo, kili-base zaidi kwenye Mikoa ya Kusini mwa Tanzania. Kilipotoka sana, kiliishia Bagamoyo Pwani. Muda si mrefu utamezeshwa mambo ya Kigoma na Pemba, ukajiona ume-address changamoto za Tanzania nzima.

Tanzania tunamtaka Rais mwenye uwezo wa ku-address matatizo ya Tanzania na si Kanda fulani pekee. Kisiki kikingiia Ikulu kimesema kuwa kitajikita kwenye Korosho, Mbaazi, Gesi, na Bandari ya Bagamoyo pekee. Na muda wote kimekuwa kikiwashukuru wananchi wa Kusini na hasa Kijijini kwake Rondo kwa support. Nikikumbushe tu kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa sana, katika watia nia wote ni JPM pekee ambaye hata akiongea tu mtu unaelewa kuwa anaifahamu Tanzania. Na kwa miaka mitano tumeshuhudia Kanda zote zikiwa zimechangamka kwa projects mbalimbali zenye Tija.

FYI, hizo zote ambazo wewe umeona kama ndiyo mtaji wako, zimeshafanyiwa kazi na zinaendelea kufanyiwa kazi na serikali hii, na ndio maana Wana-Ruangwa wameamua kumpitisha bila kupingwa PM Majaliwa Kassim Majaliwa kama Mgombea wao.

Kisiki wewe ni dhaifu sana, na huielewi Tanzania hii; Magufuli ni ubiquitous kwenye nchi hii.
Muda wa kuandika upuuzi mnautoa wapi
 
Jana Kisiki cha Mpingo kimepokelewa ACT-Wazalendo, na leo hii kimechukua fomu za kugombea Urais kupitia chama hicho. Katika hotuba yake wakati kikipokelewa ndani ya chama hicho, mbali na makosa ya ufahamu wa mahali kilipo, kilionesha uelewa mdogo sana wa Tanzania hii. Mara zote kikitoa solution za matatizo ambayo kilidai yapo, kili-base zaidi kwenye Mikoa ya Kusini mwa Tanzania. Kilipotoka sana, kiliishia Bagamoyo Pwani. Muda si mrefu utamezeshwa mambo ya Kigoma na Pemba, ukajiona ume-address changamoto za Tanzania nzima.

Tanzania tunamtaka Rais mwenye uwezo wa ku-address matatizo ya Tanzania na si Kanda fulani pekee. Kisiki kikingiia Ikulu kimesema kuwa kitajikita kwenye Korosho, Mbaazi, Gesi, na Bandari ya Bagamoyo pekee. Na muda wote kimekuwa kikiwashukuru wananchi wa Kusini na hasa Kijijini kwake Rondo kwa support. Nikikumbushe tu kuwa Tanzania hii ni nchi kubwa sana, katika watia nia wote ni JPM pekee ambaye hata akiongea tu mtu unaelewa kuwa anaifahamu Tanzania. Na kwa miaka mitano tumeshuhudia Kanda zote zikiwa zimechangamka kwa projects mbalimbali zenye Tija.

FYI, hizo zote ambazo wewe umeona kama ndiyo mtaji wako, zimeshafanyiwa kazi na zinaendelea kufanyiwa kazi na serikali hii, na ndio maana Wana-Ruangwa wameamua kumpitisha bila kupingwa PM Majaliwa Kassim Majaliwa kama Mgombea wao.

Kisiki wewe ni dhaifu sana, na huielewi Tanzania hii; Magufuli ni ubiquitous kwenye nchi hii.
Mnachokitafuta CCM mtakipata!
 
Kusini, Dar, Kigoma, Kagera, Mbeya, Kaskazini, Zanzibar

Wakulima, Wafanyakazi, Vijana, Wastaafu.

Magufuli bora afungashe virago mapema, Sioni namna anavyoweza kushinda uchaguzi huu, labda kwa figisu

Cha msingi tu, Wapinzani waungane, wawe kitu kimoja, hiyo ndiyo siri ya ushindi.
 
Kusini, Dar, Kigoma, Kagera, Mbeya, Kaskazini, Zanzibar

Wakulima, Wafanyakazi, Vijana, Wastaafu.

Magufuli bora afungashe virago mapema, Sioni namna anavyoweza kushinda uchaguzi huu, labda kwa figisu

Cha msingi tu, Wapinzani waungane, wawe kitu kimoja, hiyo ndiyo siri ya ushindi.

Mnachekesha sana. Kweli mnasikiliza halafu mnameza kama dodoki
 
Kwani ile hotuba ulisikiliza peke yako? Membe kaongea facts zaidi kuliko yule Doctor wenu. membe ameongea Ki professor zaidi kuliko huyo PhD wenu

Membe ameanza kuchoka uso hata kabla ya kampeni, iatagika muda atajutiaaamuzi yake, kwa sasa anatapatapa kama mtu amayetaka kuzama hivyo anatafuta tawi la kushishikiza.
Kama anajipenda amuunge mkono lisu kuficha aibu yake.
 
Mziki wa Lowassa mbona ulikuwa cha mtoto...mziki huu unakesha hadi asubuhi dadadeq...

Lissu, Membe, Mbowe, Zito, Nyalandu, Maalim Self...Jukwaa moja!!

Mtu atazimia...!!
Hata kipindi cha Lowasa walikuwepo wote lkn aah Wapi!!
 
Back
Top Bottom