jamani watu ninyiiiunafanya kazi twaweza?
Hujawahi kutana na wenye mapenzi ya dhati,ukiona mwanamke anachukua pesa kwako jua kuwa yuko anayepelekewa.Una bahati mbaya kama ukokutana nao wote wako hvyo.
Huwezi amini ...mwanamke ni kiumbe wa ajabu sana.
Vitu unavyodhani ni muhimu kwake sio muhimu...na vile unavyodhani sio muhimu basi ndio muhimu.
Anaweza mpenda muuza genge kwa kuwa anamwongezaga fungu la nyanya akakusahau wewe uliyempa fedha ya kwenda gengeni