chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 12,285
- 25,665
Nimekosea kumuweka naomba nielekeze namna ya kuifuta.
Ila na wewe mkuu si una standard za mke unaemtaka!!
Sio kila mke tu ata akiwa mzuri kiasi gani.
muombe moderator waitoe ndoa ya watu isije vunjika.