Kwa nini mkuu!?Ila angekuwa ni huyo kweny picha usingemkataa ila nenda kale papuchi ya bure mkuu maisha yenyewe ndo hayahaya
Mkuu;
Kwa utafiti wangu nimegundua kuwa wanaotupenda tunawachukulia poa na tunaowapenda kadhalika. Uliko utateseka sana kwani aliyekupenda hautakuwa nao bali unaowapenda wewe lkn hawakuoebdu
Na mimi nitafanya uchunguzi nikomfem mkuu kama ni kweli hilo usemalo.
Kama unavyonchukulia poa mimi[emoji848]Mkuu;
Kwa utafiti wangu nimegundua kuwa wanaotupenda tunawachukulia poa na tunaowapenda kadhalika. Uliko utateseka sana kwani aliyekupenda hautakuwa nao bali unaowapenda wewe lkn hawakuoebdu
Same case mkuu...kikubwa unakuwa hujamgegeda sasa sijui anachokumbuka ni nini!!??Hii kitu sijui wanawake wanaichukuliaje ila binafsi inanichanganya mno...nina ishu kama ya mtoa mada, kuna manzi aliwahi nipenda mwenyewe na akanitamkia but sikuweza kuwa nae sababu ndo nlikuwa nimetoka kusalitiwa vibaya mno na mwanamke nlokuwa naye kwenye mahusiano. Huyo dada alijaribu kila namna kunifanya nimpende lakini wapi, baadaye akaja akaolewa na akazaa watoto wawili. Sasa imepita miaka kama 6 nashangaa mwaka huu mwanzoni amepata namba yangu, akanitafuta anasema bado moyo wake uko kwangu! Eti Aliolewa kule sababu umri wake ulikuwa unahitaji ndoa.....
umeshaoa........ila kama ni huyo kwa picha.........utakuwa unafurahisha genge JF!!!!! huyo hata kipofu haachi walahiii,,,angalau kuosha rungu tuu....midomo mizuri hivyo ya kutalk na mic........poa tuu lakini...kama keshaolewa potezea.....mwambie wewe ni hanithi atakuelewa...
Yaan ndo hvyo namwelewa lkn ananchukulia poa ila hamna tabu akisoma hapa mwambie ntaenda kwa wanaonipa attentionUnachukuliwa poa na huyo uliemwambia "kama unavyonichukulia mimi" ndio nikasema unahitaji attention yake?! Wakati huo huo watu kibwenga wanahitaji attention yako ila hawapati.