Tuanzapo mahusiano tunamini huyu sawa na yule lakini rahasha ebu tukipata wapenzi tutulie hata tukigundua mwenza wetu hawajatulia basi sisi tutulie tujikinge tu na maradhi mwisho wa siku nao mwenza wetu watatulia kwani watamini sisi tuna upendo wa kweli tusitake shindana nao tutaishia maliza mabucha na nyama ile ile