Upendo ndio jambo la kheri kwa wote

Upendo ndio jambo la kheri kwa wote

Issa hayola

Member
Joined
Feb 7, 2014
Posts
21
Reaction score
2
Marafiki, upendo wa dhati ndilo jambo la kheri baina yetu na wengineo.

Hivi inakuwaje mpaka mtu wa tabaka la juu anamchukia na kumtolea maneno makali au hata yenye kukera mtu mwenye tabaka la chini?

Kumbuka, mungu hakumjaalia mtu kipato kwa kuja kumnyanyapaa mwingine bali alifanya hivyo kwa lengo maalum. Imani, ukarimu, upendo na heshima vitakufanya uwe na neema maishani mwako. Mwisho, nawapenda wote.
 
asante sana Issa hayola somo zuri sana hili kwani upendo ndio kila kitu.
 
Last edited by a moderator:
Matusi au lugha mbaya toka kinywani mwa mtu ni hulka ambayo mtu anakuwa nayo' haina cha tajiri, mtu wa kati au maskini!! Hivyo hoja ya msingi ni kutumia ndimi zetu vizuri..

Kuna watu makabwela wenzangu wana kauli chafu' paka mtu waweza shawishika kusema huyu mtu Mungu hakukosea kumpa umaskini alionao' kwamba alimpa umaskini kwa makusudi maana angekuwa navyo watu wasingepumua!!
 
Ni kweli kabisa, yatupasa tupendane kama Mungu anavyotupenda sisi.
 
Malezi na jamii inatufanya tuwe wa binafsi na kujijali sisi wenyewe ni vitu tunakua navyo mkuu.
 
Tunapendana lakini wenzetu wengine tukiwaomba vitu vyao walivyopewa bure wanatunyima,hawana upendo.
 
kuna watu wakipendwa wanadhani wanadharauliwa, kama hujipendi, unadhani nani atakupenda?

mabadiliko huanza na wewe..
 
Back
Top Bottom