Dr Emma John
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 820
- 194
OK, let's wait and see, mkuu.
Tho am deep fear wit her inborn character.
Hofu yako ni ya msingi cha muhini ni tahadhari kuchukuliwa hata kwa wanaoonekana wazalendo
OK, let's wait and see, mkuu.
Tho am deep fear wit her inborn character.
Sina hofu na chadema,ni chama pekee ambako vijana wanathamiwa sana bila shaka watamwona japo mamluki nao wanavizia vizia
Fomu zipo wazi kila mwenye sifa na kamanda wa kweli asiye na element za uchumia tumbo anakaribishwa na ni haki yake kutuongoza sisi vijana wenzake kupitia CDM!
No worry kiongozi because eventually everything shall be put to light, nothing hidden from light will go throughOK, let's wait and see, mkuu.
Tho am deep fear wit her inborn character.
Ndio yule aliyekua mshiriki wa maisha plus, kipindi flani cha nyuma.?
Tuwahamasisheni vijana kutoka kila mahala nchini watoe mchango wao wa kisiasa hasa wakati huu tunapoelekea uchaguzi.
Mara ya kwanza kumwona na kumsikiliza live ilikuwa Kakola Kahama,mara ya pili juzi Nyang'hwale,nimemsoma akiwa Uganda na aliyekuwa kiongozi mathubuti wa chama pinzani Besigye na kwenye mijadala kadhaa ya gesi akitokea Norway.
Ni kijana binti mdogo mwenye uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja za kitaifa na kimataifa,huwezi kumsikiliza usimpongeze vinginevyo uwe na wivu uliopitiliza mno.
Naomba achukue fomu ya uongozi wa juu kabisa wa Bavicha taifa na asiogope vitisho na mbwembwe za wengine, vijana wenzake wamuunge mkono maana kakamilika.
Nawasilisha kama kuna mwenye kumfahamu zaidi amwagike.
Ubarikiwe sana kwa kusema juu ya Upendo.Namfahamu kwa kiasi Fulani huyo Dada, nimpiganaji mwenzetu katika Kata ya Segerea...no mtu makini sana..anayejitoa kufanya Kazi ya chama