mij
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 1,993
- 2,107
Kwa uwezo wake wa kujenga hoja unadhani hata magufuli na phd anaweza bishana nae kwa hoja?
Hawezi
Kwa uwezo wake wa kujenga hoja unadhani hata magufuli na phd anaweza bishana nae kwa hoja?
Hujamuona kwa kuperuzi unataka nani akupe matokeo??Alipata division ngapi?? Nimeperuse 2007 Green Acres results za ACSE sijaona kitu.
Kwa uwezo wake wa kujenga hoja unadhani hata magufuli na phd anaweza bishana nae kwa hoja?
i think that's not my concern!!!Isije ikawa chakula cha mkt..
mi nataka kujua anatoka mtaa gani pale geita kamata namfaham vizuriHivi angehamia CCM haya maswali yangekuwepo?
ningependa kujua pale kwa makamanda ye ni wanani maana madem wote wamegawanaPIA WALIOSOMA NA MTOTO MPENDWA WATUAMBIE UFAURU WAKE.
ukisikiliza hotuba za M/Nyerere,,,,Madiba yan utaona siasa ya sasa ivi ni uozo mtupu watu wakolazi wafie chama na sio nchi... yan inashangaza mtu mzima anasisitiza uzalendo ni kulinda chama na sio kuilinda na kuitetea nchi na mambo yanaenda mbali zaidi ata taasisi ambazo hazitakiwi kuwa na chama au mfungamano wa siasa wanaonesha upande wazi wazi..... hili ni janga kubwa sana...mi nataka kujua anatoka mtaa gani pale geita kamata namfaham vizuri
Hapana upendo nimemfundisha chemistry na biology, kafika form six ndio akaendaga maisha plus. Baada ya hapo sijui alienda wapi.Wee unauemjua tuambie?? Elimu yake kama kajisogeza ni ile ya QT.
Mkuu ni lini wasomi wa nchi hii walishika nafasi kubwa kubwa tangu taifa hili liumbwe?? Zaidi ya magukufuri kuanza kuheshimu taaluma za watu katika utendaji kazi kwa maendeleo ya nchi awamu hii!!!!! Wasomi walikuwa wanapelekeshwa na wanasiasa ,ndiyo maana ukaja usemi wa akili ndogo haiwezi kuindesha akili kubwa,unajua chanzo cha kauli hii??Hata angekuwa darasa la pili c swala ni kwamba jeee? Anaelimu ya uraia kichwani au na yeye mbumbumbu kama ma Dr wetu wengi? Elimu ya cheti ni 0 kama hakuna elimu kichwan , usomi wa makaratasi hauwwzi ku determine kiwango cha ukimavu wa fikrawa mtuu , na walio liingiza taifa hasara ndio hao hao wanao jiita wasomi wa vyeti , idiot
Na ndio maana mkuu wa mkoa DAR inasemekana elimu yake magumashi lakin ni mbunifu kuliko hata hizi PhD zenu
Mmmh huko nako si kipanya naye katafunaHapana upendo nimemfundisha chemistry na biology, kafika form six ndio akaendaga maisha plus. Baada ya hapo sijui alienda wapi.
Kwa hiyo ukisoma naye o level hata kiwi kwenda A level?Baptist alisoma O level
Kuna mdau kamquote post #4 anasema huyu dada alimaliza A level 2007!Nakumbuka tukisoma nae pale Mwanza Baptist secondary . mie nikaacha shule . yeye alitakiwa amalize kidato cha nne mwaka 2006
Ni Mimi hapa,alisoma Green Acres achana na uongo unaoenezwa humu,na alikuwa anafanya PCBna alikuwa bright.Kuna mdau kamquote post #4 anasema huyu dada alimaliza A level 2007!
Inakusaidia kujua kitu ulichochagua kusomea mkuu, kwani wewe umesomea nini?hivi elimu ya bongo zaidi ya kujua kusoma na kuandika inatusaidia nini zaidi?
Mmeshindwana bei huko ndio unakuja kulialia hapa. CCM wapuuzi sanaKuna watu wanasema huyo mbunge ni darasa la saba, je, ni kweli? Nimefungua tovuti ya bunge, hakuna kilichowekwa kwenye CV yake.
She looks smart upstairs, kwamba yeye ni timu kibajaji na msukuma? Siamini.
Mwezi machi mwaka huu msukuma alimchana kuwa huyo mrembo ni timu la 7 nikadhani ugomvi binafsi.
Nimeshindwa kuweka hiyo link humu.