mohamed ally
Member
- Apr 24, 2011
- 28
- 1
Serikali yetu inajitahidi kujenga vyuo vikuu vingi,sekondari za kata na sule za msingi pasipo na watoto wa vigogo kusoma kwenye shule hizi.wahitimu wanaongezeka kwa kasi lakin mbona walio wengi wanazagaa mtaaani?Wamekalia kufilisi makampuni kama Tango Transpot na kuwakumbatia mafisadi hivi hii sawasawa kweli? zabuni zikitoka bungeni zinzpelekwa nje kwa ajili ya ushindan:mod: