Upende usipende Dunia itakufundisha kutokudharau wengine

Upende usipende Dunia itakufundisha kutokudharau wengine

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
34,355
Reaction score
80,010
Anaandika, Robert Heriel

Vijana wenye Dharau na kiburi mnawaona Watu wazima wenye age 45-70. Msiwaone wapole😂😂 msiwaone Kama wamezubaa
😊 Walikuwa wanaringa Kama ninyi, walikuwa na Dharau na kiburi Kama ninyi. Ila Dunia imewafundisha, somo limewaingia.

Ujana maji ya Moto wahenga walishasema, ukishaanza kupevuka/kubalehe unakuwa na Dunia yako kichwani, unakuwa Kama upo ndotoni. Kuna Ile namna unajichukulia na kujiona vile baadaye utakavyokuwa mtu mwenye mafanikio. Ni nadra Sana ukiwa umri huo kujikatisha tamaa.

Kijana wa Umri huo ni rahisi kumdharau binti asiye na vigezo vyake halikadhalika Binti wa umri wa kijana yaani miaka 13-25 ni rahisi kudharau Vijana au wanaume wa namna Fulani.

Jambo moja la uhakika ni kuwa Dunia ndiye Mwalimu Bora atakayehakikisha kila Mwanafunzi atafaulu masomo yote.

1. Dunia itakufundisha Kutokudharau wengine, na utafaulu tuu!
2. Dunia itakufundisha kozi ya KUTOWALAUMU wengine na utafualu tuu.
3. Dunia utajifunza Kozi ya KUTOMUAMINI NA KUWEKA MATEGEMEO KWA MTU, na utafaulu tuu upende usipende.
4. Dunia utakufundisha kozi ya Mipango sio matumizi na utafaulu tuu.

5. Dunia itakufundisha kozi ya Time management, na utafaulu tuu.
6. Dunia itakufundisha Use na Reuse Course na utafaulu tuu.

Yaani Dunia hii itakufundisha Kwa namna ambayo utaelewa Kwa urahisi kuliko ambavyo ungekaa darasani. Alafu mitihani ni tofauti ingawaje kozi ni Ileile, silabasi ni tofauti lakini kozi ni Ileile.

Dunia ninachoipendea ni kuwa hakuna mtu kiburi ambaye kiburi chake hakitatiishwa, hakuna mtu mwenye Dharau ambaye Dharau zake hazitatiishwa.

Wakati unawadharau watu Kwa maumbile Yao Kwa sababu umejaliwa uzuri au hata huna huo uzuri wenyewe basi dunia utakunyoosha Kwa namna ya kukuacha mdomo wazi.
Siku utakapozaa Watoto Wabaya, labda wafupi, au wenye Sura za kuchukiza ndipo Dharau zako zitakapoisha kudharau watu Kwa maumbile.

Watu wengi waliokuwa na Dharau wakidharau wanaume/wanawake wasio na maumbile mazuri dunia iliwapa zaawadi ya watoto wa namna Ileile ya watu waliokuwa wanawadharau. Hapo ndipo mwisho wa Dharau zao zilipokwisha. Wakawa wanagugumia maumivu ndani Kwa ndani.

Hata hivyo wapo viburi ambao husingizia mbegu hizo sio za ukoo wao Bali ni mbegu za aidha ukoo wa mwanaume au mwanamke basi ilimradi kujifariji lakini haiondoi ukweli kuwa hao ni watoto wako.

Wakati unawadharau wasiosoma kisa upo chuo na unamadigrii ya kutosha, Dunia itakufundisha kozi maalumu ya kumheshimu kila mtu. Sio ajabu ukashangaa wasiosoma ndio wenye mafanikio kukuzidi, au pengine Watoto wako WA kike wakapewa mimba na hao wasiosoma tena binti yako akawa Kara kaoza huku akitishia kujiua kisa hao uliokuwa unawadharau😊.

Kama hiyo haitakuumiza sio ajabu Mkeo akawa anachepuka na mtu wa ajabu ajabu asiye na elimu yoyote. Hayo ndio Maisha. Usipojifunza kuheshimu watu yenyewe yata-take Role kuhakikisha unafaulu somo la kutokudharau wengine.

Wakati unamlaumu Mumeo kuwa ni kibamia na Hakuridhishi kitandani, tena ikafikia hatua ukamuacha Kwa maneno ya shombo, nakuhakikishia Dunia itakupa somo zuri Sana ambalo litakukumbusha na kukufundisha kuheshimu na kuvumilia watu wengine. Hata kama ni miaka 20 ijayo lakini somo lazima likufikie. Raha ya Dunia inatabia ya kutohairisha kozi, yaani utafundishwa tuu bila kufuata Ratiba😂😂.

Siku Vijana wako wa kiume wakilalamikiwa kuwa hawana nguvu za kiume na Wakamwana wako vile utakavyojisikia vibaya kuona Vijana wako wakiume wakiteswa Kwa maneno makali na wake zao(wakamwana wako) hapo ndipo utajifunza kuheshimu hata Hali za Fedheha za watu wengine.

Jinsi unavyomdharau Mkeo labda anamapungufu Fulani, labda Hana shepu nzuri, au anamaji mengi, au anauke mkubwa, au kanenepa Sana au anakasoro nyingine yoyote Ile. Ukamponda na kumpa maisha magumu bila kumstahi na kumvumilia.

Nakuhakikishia Dunia itakufundisha tuu vile ambavyo ulipaswa kufanya.
Dunia haipendi Dharau Hilo weka kichwani, dunia haipendi Kibri na majivuno.

Majibu yake utayapata Kwa wale unaowapenda Kama wewe hutojijali Sana.

Angalia wanawake wanaojiona wazuri wenye Dharau Kwa wanaume alafu angalia watoto wanaowazaa yaani ni Copy na paste ya Wale waliokuwa wanawadharau.
Halikadhalika na wanaume.

Huko uzunguni na jamii zenye Ubaguzi wa rangi Kwa Waafrika ni kawaida Sana Mabinti wa kizungu kuzama kimapenzi na Waafrika kutokana na vile wanavyotuona tunavutia. Hii hupelekea maumivu makali Kwa Watangulizi wao kuwa waliowadharau Leo ndio wanatoka na Watoto wao. Hali hiyo inasababisha mauaji au matokeo mabaya zaidi kufanyiwa Waafrika.

Maisha haya lazima uende nayo Kwa step. Kila unachofanya uwe nacho macho.

Unadharau Walevi alafu wao ndio siku moja watakupa msaada. Hakuna maumivu mabaya Kama kusaidiwa na mtu uliyekuwa unamdharau. Inatesa na inaumiza Sana.

Heshimu kila mtu. Na Kama huheshimu kila mtu basi jifunze kuficha Dharau zako Kwa watu.

Nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi

Kwa sasa Dar es salaam
 
Tunakusanya madaftari Sasa, asiyeelewa somo la Leo rahisi hivi basi ni sikio la kufa hilo au lakuvunda kabisa.

Hata Ccm kilio cha tozo wamekisikia, wanaogopa ya Kenya maana wote tunaongea kiswahili, kama Kenya mabadiriko yanafanyika Tanzania tunashindwaje?

Ccm nayo ina miaka 45 imeanza kuheshimu watu.
 
Wewe kila Uzi wako lazima muongelee vibamia
Kuna Mambo Mengi ya kujadili TOFAUTI na ngono na Ccm na Mpira.

Kwa sababu akili yako ni ndogo ndio maana huwezi elewa kinachojadiliwa.

Sio ajabu unaelimu kubwa lakini akili ndogo Kwa kushindwa kuelewa mantiki ya kilichoandikwa.
 
Tunakusanya madaftari Sasa, asiyeelewa somo la Leo rahisi hivi basi ni sikio la kufa hilo au lakuvunda kabisa.

Hata Ccm kilio cha tozo wamekisikia, wanaogopa ya Kenya maana wote tunaongea kiswahili, kama Kenya mabadiriko yanafanyika Tanzania tunashindwaje?

Ccm nayo ina miaka 45 imeanza kuheshimu watu.

Naam Mkuu!
 
ulichokiongelea kina uhalisia wa asilimia mia....baba yangu aliwachukia sana watoto wa kike lakini uzao wake wote ameishia kuzaa watoto wa kike wengi kuliko wa kiume..watoto wakiume tuko wawili tu na wakike wako tisa 😁................baba yangu aliwachukia sana watu wa usalama hasa askari polisi na wanajeshi .....kituko ni kuwa watoto wake wa kike watano wameolewa na watu wa usalama askari jeshi na polisi na ndio haohao maji yakiwa shingoni huwapigia wampe msaada 😂😂...........tulipokuwa mashuleni hasa ngazi za elimu ya sekondali ndugu na jamaa wa upande wa baba walimpa ushauri baba kuwa awekeze nguvu zaidi kwenye kuwasomesha watoto wa kike ndio wenye huruma na ndio watakaomsaidia eti sisi watoto wa kiume hatuna huruma na hatuwezi kumsaidia kwa lolote......baba alifuata ushauri ule sisi wa kiume tumesoma kwa tabu sana ..nakumbuka cheti cha kidato cha nne nilikikomboa kutoka shuleni kwa fedha zangu mwenyewe kutokana na deni kubwa nililokuwa nadaiwa......cha ajabu sasa watoto wa kike wanawekeza nguvu zaidi kwenye kuzijenga familia zao na watoto wao.....baba ameona mambo magumu ameamua kuurudisha mpira kwetu watoto wa kiume anahitaji msaada wa hali na mali. 😂😂😂😂😂 nairudisha maiki kwako ndugu ROBERT HERIEL
 
Anaandika, Robert Heriel

Vijana wenye Dharau na kiburi mnawaona Watu wazima wenye age 45-70. Msiwaone wapole😂😂 msiwaone Kama wamezubaa
😊 Walikuwa wanaringa Kama ninyi, walikuwa na Dharau na kiburi Kama ninyi. Ila Dunia imewafundisha, somo limewaingia.

Ujana maji ya Moto wahenga walishasema, ukishaanza kupevuka/kubalehe unakuwa na Dunia yako kichwani, unakuwa Kama upo ndotoni. Kuna Ile namna unajichukulia na kujiona vile baadaye utakavyokuwa mtu mwenye mafanikio. Ni nadra Sana ukiwa umri huo kujikatisha tamaa.

Kijana wa Umri huo ni rahisi kumdharau binti asiye na vigezo vyake halikadhalika Binti wa umri wa kijana yaani miaka 13-25 ni rahisi kudharau Vijana au wanaume wa namna Fulani.

Jambo moja la uhakika ni kuwa Dunia ndiye Mwalimu Bora atakayehakikisha kila Mwanafunzi atafaulu masomo yote.

1. Dunia itakufundisha Kutokudharau wengine, na utafaulu tuu!
2. Dunia itakufundisha kozi ya KUTOWALAUMU wengine na utafualu tuu.
3. Dunia utajifunza Kozi ya KUTOMUAMINI NA KUWEKA MATEGEMEO KWA MTU, na utafaulu tuu upende usipende.
4. Dunia utakufundisha kozi ya Mipango sio matumizi na utafaulu tuu.

5. Dunia itakufundisha kozi ya Time management, na utafaulu tuu.
6. Dunia itakufundisha Use na Reuse Course na utafaulu tuu.

Yaani Dunia hii itakufundisha Kwa namna ambayo utaelewa Kwa urahisi kuliko ambavyo ungekaa darasani. Alafu mitihani ni tofauti ingawaje kozi ni Ileile, silabasi ni tofauti lakini kozi ni Ileile.

Dunia ninachoipendea ni kuwa hakuna mtu kiburi ambaye kiburi chake hakitatiishwa, hakuna mtu mwenye Dharau ambaye Dharau zake hazitatiishwa.

Wakati unawadharau watu Kwa maumbile Yao Kwa sababu umejaliwa uzuri au hata huna huo uzuri wenyewe basi dunia utakunyoosha Kwa namna ya kukuacha mdomo wazi.
Siku utakapozaa Watoto Wabaya, labda wafupi, au wenye Sura za kuchukiza ndipo Dharau zako zitakapoisha kudharau watu Kwa maumbile.

Watu wengi waliokuwa na Dharau wakidharau wanaume/wanawake wasio na maumbile mazuri dunia iliwapa zaawadi ya watoto wa namna Ileile ya watu waliokuwa wanawadharau. Hapo ndipo mwisho wa Dharau zao zilipokwisha. Wakawa wanagugumia maumivu ndani Kwa ndani.

Hata hivyo wapo viburi ambao husingizia mbegu hizo sio za ukoo wao Bali ni mbegu za aidha ukoo wa mwanaume au mwanamke basi ilimradi kujifariji lakini haiondoi ukweli kuwa hao ni watoto wako.

Wakati unawadharau wasiosoma kisa upo chuo na unamadigrii ya kutosha, Dunia itakufundisha kozi maalumu ya kumheshimu kila mtu. Sio ajabu ukashangaa wasiosoma ndio wenye mafanikio kukuzidi, au pengine Watoto wako WA kike wakapewa mimba na hao wasiosoma tena binti yako akawa Kara kaoza huku akitishia kujiua kisa hao uliokuwa unawadharau😊.

Kama hiyo haitakuumiza sio ajabu Mkeo akawa anachepuka na mtu wa ajabu ajabu asiye na elimu yoyote. Hayo ndio Maisha. Usipojifunza kuheshimu watu yenyewe yata-take Role kuhakikisha unafaulu somo la kutokudharau wengine.

Wakati unamlaumu Mumeo kuwa ni kibamia na Hakuridhishi kitandani, tena ikafikia hatua ukamuacha Kwa maneno ya shombo, nakuhakikishia Dunia itakupa somo zuri Sana ambalo litakukumbusha na kukufundisha kuheshimu na kuvumilia watu wengine. Hata kama ni miaka 20 ijayo lakini somo lazima likufikie. Raha ya Dunia inatabia ya kutohairisha kozi, yaani utafundishwa tuu bila kufuata Ratiba😂😂.

Siku Vijana wako wa kiume wakilalamikiwa kuwa hawana nguvu za kiume na Wakamwana wako vile utakavyojisikia vibaya kuona Vijana wako wakiume wakiteswa Kwa maneno makali na wake zao(wakamwana wako) hapo ndipo utajifunza kuheshimu hata Hali za Fedheha za watu wengine.

Jinsi unavyomdharau Mkeo labda anamapungufu Fulani, labda Hana shepu nzuri, au anamaji mengi, au anauke mkubwa, au kanenepa Sana au anakasoro nyingine yoyote Ile. Ukamponda na kumpa maisha magumu bila kumstahi na kumvumilia.

Nakuhakikishia Dunia itakufundisha tuu vile ambavyo ulipaswa kufanya.
Dunia haipendi Dharau Hilo weka kichwani, dunia haipendi Kibri na majivuno.

Majibu yake utayapata Kwa wale unaowapenda Kama wewe hutojijali Sana.

Angalia wanawake wanaojiona wazuri wenye Dharau Kwa wanaume alafu angalia watoto wanaowazaa yaani ni Copy na paste ya Wale waliokuwa wanawadharau.
Halikadhalika na wanaume.

Huko uzunguni na jamii zenye Ubaguzi wa rangi Kwa Waafrika ni kawaida Sana Mabinti wa kizungu kuzama kimapenzi na Waafrika kutokana na vile wanavyotuona tunavutia. Hii hupelekea maumivu makali Kwa Watangulizi wao kuwa waliowadharau Leo ndio wanatoka na Watoto wao. Hali hiyo inasababisha mauaji au matokeo mabaya zaidi kufanyiwa Waafrika.

Maisha haya lazima uende nayo Kwa step. Kila unachofanya uwe nacho macho.

Unadharau Walevi alafu wao ndio siku moja watakupa msaada. Hakuna maumivu mabaya Kama kusaidiwa na mtu uliyekuwa unamdharau. Inatesa na inaumiza Sana.

Heshimu kila mtu. Na Kama huheshimu kila mtu basi jifunze kuficha Dharau zako Kwa watu.

Nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi

Kwa sasa Dar es salaam
inaitwa "KARMA"
 
ulichokiongelea kina uhalisia wa asilimia mia....baba yangu aliwachukia sana watoto wa kike lakini uzao wake wote ameishia kuzaa watoto wa kike wengi kuliko wa kiume..watoto wakiume tuko wawili tu na wakike wako tisa 😁................baba yangu aliwachukia sana watu wa usalama hasa askari polisi na wanajeshi .....kituko ni kuwa watoto wake wa kike watano wameolewa na watu wa usalama askari jeshi na polisi na ndio haohao maji yakiwa shingoni huwapigia wampe msaada 😂😂...........tulipokuwa mashuleni hasa ngazi za elimu ya sekondali ndugu na jamaa wa upande wa baba walimpa ushauri baba kuwa awekeze nguvu zaidi kwenye kuwasomesha watoto wa kike ndio wenye huruma na ndio watakaomsaidia eti sisi watoto wa kiume hatuna huruma na hatuwezi kumsaidia kwa lolote......baba alifuata ushauri ule sisi wa kiume tumesoma kwa tabu sana ..nakumbuka cheti cha kidato cha nne nilikikomboa kutoka shuleni kwa fedha zangu mwenyewe kutokana na deni kubwa nililokuwa nadaiwa......cha ajabu sasa watoto wa kike wanawekeza nguvu zaidi kwenye kuzijenga familia zao na watoto wao.....baba ameona mambo magumu ameamua kuurudisha mpira kwetu watoto wa kiume anahitaji msaada wa hali na mali. 😂😂😂😂😂 nairudisha maiki kwako ndugu ROBERT HERIEL

😂😂😂

Mtu akikuambia maisha magumu lazima umuelewe tuu Kwa sababu unaweza kuwa na pesa lakini ukawa upo kwenye kozi maalumu ya kufundishwa kunyenyekea Kwa watu uliowadharau😀😀
 
Anaandika, Robert Heriel

Vijana wenye Dharau na kiburi mnawaona Watu wazima wenye age 45-70. Msiwaone wapole😂😂 msiwaone Kama wamezubaa
😊 Walikuwa wanaringa Kama ninyi, walikuwa na Dharau na kiburi Kama ninyi. Ila Dunia imewafundisha, somo limewaingia.

Ujana maji ya Moto wahenga walishasema, ukishaanza kupevuka/kubalehe unakuwa na Dunia yako kichwani, unakuwa Kama upo ndotoni. Kuna Ile namna unajichukulia na kujiona vile baadaye utakavyokuwa mtu mwenye mafanikio. Ni nadra Sana ukiwa umri huo kujikatisha tamaa.

Kijana wa Umri huo ni rahisi kumdharau binti asiye na vigezo vyake halikadhalika Binti wa umri wa kijana yaani miaka 13-25 ni rahisi kudharau Vijana au wanaume wa namna Fulani.

Jambo moja la uhakika ni kuwa Dunia ndiye Mwalimu Bora atakayehakikisha kila Mwanafunzi atafaulu masomo yote.

1. Dunia itakufundisha Kutokudharau wengine, na utafaulu tuu!
2. Dunia itakufundisha kozi ya KUTOWALAUMU wengine na utafualu tuu.
3. Dunia utajifunza Kozi ya KUTOMUAMINI NA KUWEKA MATEGEMEO KWA MTU, na utafaulu tuu upende usipende.
4. Dunia utakufundisha kozi ya Mipango sio matumizi na utafaulu tuu.

5. Dunia itakufundisha kozi ya Time management, na utafaulu tuu.
6. Dunia itakufundisha Use na Reuse Course na utafaulu tuu.

Yaani Dunia hii itakufundisha Kwa namna ambayo utaelewa Kwa urahisi kuliko ambavyo ungekaa darasani. Alafu mitihani ni tofauti ingawaje kozi ni Ileile, silabasi ni tofauti lakini kozi ni Ileile.

Dunia ninachoipendea ni kuwa hakuna mtu kiburi ambaye kiburi chake hakitatiishwa, hakuna mtu mwenye Dharau ambaye Dharau zake hazitatiishwa.

Wakati unawadharau watu Kwa maumbile Yao Kwa sababu umejaliwa uzuri au hata huna huo uzuri wenyewe basi dunia utakunyoosha Kwa namna ya kukuacha mdomo wazi.
Siku utakapozaa Watoto Wabaya, labda wafupi, au wenye Sura za kuchukiza ndipo Dharau zako zitakapoisha kudharau watu Kwa maumbile.

Watu wengi waliokuwa na Dharau wakidharau wanaume/wanawake wasio na maumbile mazuri dunia iliwapa zaawadi ya watoto wa namna Ileile ya watu waliokuwa wanawadharau. Hapo ndipo mwisho wa Dharau zao zilipokwisha. Wakawa wanagugumia maumivu ndani Kwa ndani.

Hata hivyo wapo viburi ambao husingizia mbegu hizo sio za ukoo wao Bali ni mbegu za aidha ukoo wa mwanaume au mwanamke basi ilimradi kujifariji lakini haiondoi ukweli kuwa hao ni watoto wako.

Wakati unawadharau wasiosoma kisa upo chuo na unamadigrii ya kutosha, Dunia itakufundisha kozi maalumu ya kumheshimu kila mtu. Sio ajabu ukashangaa wasiosoma ndio wenye mafanikio kukuzidi, au pengine Watoto wako WA kike wakapewa mimba na hao wasiosoma tena binti yako akawa Kara kaoza huku akitishia kujiua kisa hao uliokuwa unawadharau😊.

Kama hiyo haitakuumiza sio ajabu Mkeo akawa anachepuka na mtu wa ajabu ajabu asiye na elimu yoyote. Hayo ndio Maisha. Usipojifunza kuheshimu watu yenyewe yata-take Role kuhakikisha unafaulu somo la kutokudharau wengine.

Wakati unamlaumu Mumeo kuwa ni kibamia na Hakuridhishi kitandani, tena ikafikia hatua ukamuacha Kwa maneno ya shombo, nakuhakikishia Dunia itakupa somo zuri Sana ambalo litakukumbusha na kukufundisha kuheshimu na kuvumilia watu wengine. Hata kama ni miaka 20 ijayo lakini somo lazima likufikie. Raha ya Dunia inatabia ya kutohairisha kozi, yaani utafundishwa tuu bila kufuata Ratiba😂😂.

Siku Vijana wako wa kiume wakilalamikiwa kuwa hawana nguvu za kiume na Wakamwana wako vile utakavyojisikia vibaya kuona Vijana wako wakiume wakiteswa Kwa maneno makali na wake zao(wakamwana wako) hapo ndipo utajifunza kuheshimu hata Hali za Fedheha za watu wengine.

Jinsi unavyomdharau Mkeo labda anamapungufu Fulani, labda Hana shepu nzuri, au anamaji mengi, au anauke mkubwa, au kanenepa Sana au anakasoro nyingine yoyote Ile. Ukamponda na kumpa maisha magumu bila kumstahi na kumvumilia.

Nakuhakikishia Dunia itakufundisha tuu vile ambavyo ulipaswa kufanya.
Dunia haipendi Dharau Hilo weka kichwani, dunia haipendi Kibri na majivuno.

Majibu yake utayapata Kwa wale unaowapenda Kama wewe hutojijali Sana.

Angalia wanawake wanaojiona wazuri wenye Dharau Kwa wanaume alafu angalia watoto wanaowazaa yaani ni Copy na paste ya Wale waliokuwa wanawadharau.
Halikadhalika na wanaume.

Huko uzunguni na jamii zenye Ubaguzi wa rangi Kwa Waafrika ni kawaida Sana Mabinti wa kizungu kuzama kimapenzi na Waafrika kutokana na vile wanavyotuona tunavutia. Hii hupelekea maumivu makali Kwa Watangulizi wao kuwa waliowadharau Leo ndio wanatoka na Watoto wao. Hali hiyo inasababisha mauaji au matokeo mabaya zaidi kufanyiwa Waafrika.

Maisha haya lazima uende nayo Kwa step. Kila unachofanya uwe nacho macho.

Unadharau Walevi alafu wao ndio siku moja watakupa msaada. Hakuna maumivu mabaya Kama kusaidiwa na mtu uliyekuwa unamdharau. Inatesa na inaumiza Sana.

Heshimu kila mtu. Na Kama huheshimu kila mtu basi jifunze kuficha Dharau zako Kwa watu.

Nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi

Kwa sasa Dar es salaam
Dunia itakufundisha pia kuacha ya watu Kama yalivyo sababu hayakuhusu
 
Ni dakika kumi TU baada ya kumaliza kusoma Kuna mtu isharudia yaliyo andikwa 😂
#Hivi vichwa hivi
 
Back
Top Bottom