Updates za Corona Tanzania

ANGALIZO: Tusiwanyanyapae wale wanaopata maambukizo kwa kuwa siyo self infliction disease na nchi iendelee na mipango yake bora tunayoiona kila kukicha - usiku na mchana[emoji120][emoji120][emoji120][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]

Jr[emoji769]
 
Kabla ya kufinywa nabii mwenye tiba ya corona [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Your browser is not able to display this video.


Jr[emoji769]
 
Baada ya kufinywa [emoji23][emoji23][emoji23]
Your browser is not able to display this video.


Jr[emoji769]
 
Sio wote lakini
Wakristo tunatia aibu Sana, ukifikiri Sana hata Mambo ya kukanyaga mafuta hayana tofauti na haya alifinywa anaweza kukana hakuwaambia wayakanyage[emoji849][emoji849][emoji849]

Jr[emoji769]
 
Rumeganzila? Rip Kambanga

Jr[emoji769]
 
Ni vile hatupimi tu utakuta wengi tutakua na corona uzuri haina madhara makubwa kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hizi taarifa sio za kweli imgekuwa njema uzifute tuu.
Kwanza kipimo cha pH kinarange from 0-14
7>alkaline
=7 neutral


Sent using Jamii Forums mobile app
 
We still have a week or two go

Stages za maambukizi (Epidemiological perspective)

Stage 0- 0 cases
Stage 1 -imported cases
Stage 2- local cases (cases appearing in some cities but not imported. You can still trace the source)
Stage 3 - Community spread (mnaambukizana wenyewe kwa wenyewe na huwezi ku-trace network yake.)

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…