hizo ni thread za akina Yeriko wala huo sio uthibitisho halisi wakutuonesha kuwa lowassa alitumia fedha hizo kinyume na matumizi kusudiwa.
Je! huo ndio uthibitisho pekee wa ufisadi wa Lowassa?
Kwanini msituwekee ushahidi EPA,RICHMOND na ESCROW tuone aliiba kiasi gani???
kama hamna uthibitisho wa wizi na ufisadi wa lowassa FUNGENI MIDOMO NA MUACHE CHUKI NA UNAFIKI.