Mwizi anashabikiwa tena na wasomi. hiii nchi Kwishney
Lengo kuu ni kuzuia wezi wasiwe wagombea tena.
Aliiba nini mkuu?
LOWASSA HAFUKUZIKI CCM HATA IWEJE MLISHACHELEWA SAAANA TU.
Mtandao wa Laigwanan Eddo ni Mkubwa mno Nchi hii wakithubutu kumuengua Moto utakaowawakia Magamba hakuna wa kuuzima ukomo wa siasa za CHAMA CHA MAPINDUZI utakuwa umefika.
NA WATAKAOFAIDIKA NI UKAWA KUSHINDA KWA KISHINDO BILA USHINDANI WOWOTE.
lowasa afukuzwe