Samahanini wakuu kuna watu wanasema TBS hawatoi majina ya usaili mpaka uchaguzi mkuu upite...Hivi kuna ukweli kuhusu hili?? na kama kuna ukweli naomba tusipige kura
Wameita watu kqenye usaili mbona, wewe kama hujaitwa ujue huhafanikiwa, mdogo wang aliomba nafasi tatu zote kaitwa.
Msidanganyane wakuu.
Wameita watu kqenye usaili mbona, wewe kama hujaitwa ujue huhafanikiwa, mdogo wang aliomba nafasi tatu zote kaitwa.
Msidanganyane wakuu.
awp Hamna cha majina wala nn, bdo hawajatoa
du jaman kaz kwel kwel kwann wasiwe waz kama kwel wametoa? asanten kwa taarfa mawazo yangu watatumia cm kumbe n web yao 2 da pamoto hapo, kuwasaidia na wengne n bora mtu apatapo matokeo hayo atoe taarfa jf
Wewe ngombe nini, kuvamia thread pasipo kisoma na kuielewa!Karibu ndg, Majina ya walioitwa kwa ajili ya Usaili wa BOT yanapatikana kwenye mtandao. Tembelea mtandao wetu wa jfasta.com (www.Jfasta.com ) utayapata majina yote sasa.
Endelea kutembelea www.Jfasta.com