Kama yanga wataonyesha nidhamu basi tutawaachia maana ilivyo kama tukiwafunga jangwani hakuta kalika...lakini wakileta ujeuri tuna watandiaka vitatu kama kawaida yetu....
piga mdenda hawa watoto hawana heshima kabisa mineno mingi sana na ngumi ..cheza mpira hatutaki ndondi kama mnataka ndondi ombeni pambano na matumla sio kwenye footbal
piga mdenda hawa watoto hawana heshima kabisa mineno mingi sana na ngumi ..cheza mpira hatutaki ndondi kama mnataka ndondi ombeni pambano na matumla sio kwenye footbal