Dah mwenyewe nasubiriaje majibu kwa hamu!kwani huwa yanatangazwaje ili mtu kujua km umeitwa for oral?
endelea kusubiri tutakujulishawandugu tujuzane kwa mwenye updates zozote kuhusiana na majibu ya interview iliyofanyika pale ucc - mlimani...
nimeitwa kwenye oral wandugu, kuna mwngne?
nimeitwa kwenye oral wandugu, kuna mwngne?