Updates Ofisi ya Mwanasheria Mkuu

Updates Ofisi ya Mwanasheria Mkuu

mama wa wili

Member
Joined
Jun 10, 2014
Posts
40
Reaction score
6
Kwa alie pangiwa kazi katika ofisi hii naombakujua kinachoendelea, maana mi waliniambia watanipigia simu ila hadi leo bado hawajapiga.

Naomba kufahamu kwa yanayojiri.
 
Ata mimi niliambiwa kupigiwa simu lakin bado ila jana nilienda kuwauliza wakasema watapiga simu so ondoa hofu kaka tuko pamoja nipe mawasiliano yako tuwe tunajuzana
 
kwa alie pangiwa kazi katika ofisi hii naombakujua kinachoendelea, maana mi waliniambia watanipigia simu ila hadi leo bado hawajapiga.

Naomba kufahamu kwa yanayojiri.

hata mimi walinipigia simu na nilisharipoti, wameniambia nisubiri... Juzi nilianda kuulizia progress wakasema wanafanya mchakato wa malipo ya kujikimu, kuanzia mwezi ujao watatuita kuanza kaz
 
Kwa alie pangiwa kazi katika ofisi hii naombakujua kinachoendelea, maana mi waliniambia watanipigia simu ila hadi leo bado hawajapiga.

Naomba kufahamu kwa yanayojiri.

Hata mimi kaka waliniambia watanipigia naomba mawasiliano ili tuweze kujuzana kinachoendelea.
 
Kwa alie pangiwa kazi katika ofisi hii naombakujua kinachoendelea, maana mi waliniambia watanipigia simu ila hadi leo bado hawajapiga.

Naomba kufahamu kwa yanayojiri.

kwa uelewawangu wanatakamuanze kazi tarehe 01/09/2014, hawataki muwadai arrears za mshahara,
hongera sana mimi pia kuna mdogo wangu kapangiwa pale na utumishi kwenda kuwa mchumi. soon mtapigiwa
simu mkaripoti hiyo tarehe 01/09/2014.
 
kwa uelewawangu wanatakamuanze kazi tarehe 01/09/2014, hawataki muwadai arrears za mshahara,
hongera sana mimi pia kuna mdogo wangu kapangiwa pale na utumishi kwenda kuwa mchumi. soon mtapigiwa
simu mkaripoti hiyo tarehe 01/09/2014.

Mkuu kwa unavyoijua ofisi ya mchumi pale iko vipi? Ni nzuri au?
 
Hongereni
Msiache kuwataarifu wengine ambao hawajafanikiwa kupata kazi pindi msikiapo nafasi za kazi sehemu.
 
Nawashukuru kwakunipigia na mimi.
maana nimeisubiria hiyo call kwa ham sana.
hatimae leo wamepiga.
 
Mkuu mbona mimi sijapigiwa na wamepiga simu saa ngapi??

Ulizima simu nini? Kama hujapata simu yao wewe J3 ya 1/9/2014 tia timu na original certificates zako zote plus 4 coloured passportsize
 
Back
Top Bottom