Danny Massawe
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,299
- 765
Nitawapa updates kutoka Uwanja wa Ilulu Lindi.
Mpaka sasa 15:30 watu wanaingia uwanjani kwa uchache, Mkutano unatarajia kuanza saa 16:00
Uingiaji watu ni mdogo na inatokana na wananchi kitokupata taarifa ya uhakika
Vyombo vya kuongelea vinatestiwa Afande Sele atakuwepo pia
Mpaka sasa kuna watu takribani 1500
Mwenyekiti wa Jimbo la Mtama wa ACT ndio anaongea anawafundisha slogan ya act na anasemah ZZK anakaribia kufika.
Bado zzk hajafika wala afande selle
Imewekwa nyimbo inayomsifia kwa kupambana wkt wa opereshen tokomeza na escrow
Bado wenyeviti wa wilaya mbalimbali za mkoa wa Lindi wanaongea ....wanamsifu zzk kuwa ndio mkombozi ccm cuf na chadema wameshindwa
Kweli act wanakazi maana hawa viongozi wa wilaya hawawezi kuongea inaelekea hawana uzoefu inabidi wajengewe uwezo sana
Hakuna zomea yyt iliyotokea...
Ila hakuna maana kinachoendelea watu wana msubiri kiongozi mh zzk
Zzk bado hajafika
Ndio zzk anaingia msafara wake umeanza na bodaboda kama 30 hv na magari mawili aina ya land cruiser
Moja yupo zzk ingine afande selle
Watanzania wanaopenda democrasia wamsapot zzk na act maana hata magari yao yamechoka vyombo vya mziki navyo vinasuasua
Bado hawajaanza mike zinazingua
Bodaboda wamelipwa na wameondoka
Mike zimekubali na mjumbe wa kamati kuu MAMA TERRY anongea....mike zimezingua tena
kidogo mama anajua kuamasisha anachangamsha kidogo
Anashukuru watu kihudhiria
MAMA TERRY anasema act italeta amani na usawa....anasema ni chama cha wanyonge tikichahue ili watatue matatizo
Mama ansema wataboresha sekta ya afya na elimu
Mama anasema tatizo la nchi yetu ni kichagua viongozi wabovu....anasema tisiwapigie kura mafisadi
Afande selle amepanda jikwaani kuongea
Anasema amejufunzia maisha Lindi
Anasema atakuwa mbunge wa kwanza mwenye rasta bungeni
Afande anasema kuwa atagombea ubunge moro..
Wanamsifu mbunge wa Lindi mh Barwani..
Anasema Lindi kwanza na chama baadae
Anasema act hawaitani waheshimiwa Bali wanaitana NDUGU
Ndg zzk anapanda jikwaani
Anasema ni Mara ya kwanza kifanya Mkutano Lindi
Anasema ameitetea sana Lindi na mtwara bungeni
Ansema mikoa hii iko nyuma kimaendeleo
Anasema mungu ametupa utajiri wa gesi ila kuna watu wanawanyonya watu wa Lindi na mtwara
Zzk anasema sheria za gesi zote ni mbovu kwa sababu hazikushirikisha wananchi
Tusikubali kuwa maskini wakati tuna utajiri
Tuwaambie viongozi wetu hatutak kunyonywa
Anaelezea azimio la tabora
Anasema kansa ya nchi ni ufisadi
Anasema inabidi kuwe na sheria Kali na miiko ya viongozi
Kwenye azimio la tabora Luna miiko ya viongozi
Hakuna kuchanganya uongoz wa uma na biashara
Anasema watangaza nia wa ccm wote ni wala rushwa na kila mmoja
Anasema lowassa ajieleze kihusu Richmond
Mwandosya aliharibu pia
Magufil amekula ela ua mabehewa
Membe aeleze juu ya ela za gadafi
Zzk anaendelea watangaza nia wamekuwa serikalin na wameshindwa na hawafai
Anakemea udini na ukabila
Anasema wanarejesha modernised azimio la arusha
Anasema amefukuzwa chadema ndio maana ameunda act
Wanamsifu lipumba anasema ni mwalimu wake na anamuheshimu
Anasema act wanasiasa safi hakuna matusi
Anasema ameleta chama na tuamue wenywe
AMEMALIZA
Mpaka sasa 15:30 watu wanaingia uwanjani kwa uchache, Mkutano unatarajia kuanza saa 16:00
Uingiaji watu ni mdogo na inatokana na wananchi kitokupata taarifa ya uhakika
Vyombo vya kuongelea vinatestiwa Afande Sele atakuwepo pia
Mpaka sasa kuna watu takribani 1500
Mwenyekiti wa Jimbo la Mtama wa ACT ndio anaongea anawafundisha slogan ya act na anasemah ZZK anakaribia kufika.
Bado zzk hajafika wala afande selle
Imewekwa nyimbo inayomsifia kwa kupambana wkt wa opereshen tokomeza na escrow
Bado wenyeviti wa wilaya mbalimbali za mkoa wa Lindi wanaongea ....wanamsifu zzk kuwa ndio mkombozi ccm cuf na chadema wameshindwa
Kweli act wanakazi maana hawa viongozi wa wilaya hawawezi kuongea inaelekea hawana uzoefu inabidi wajengewe uwezo sana
Hakuna zomea yyt iliyotokea...
Ila hakuna maana kinachoendelea watu wana msubiri kiongozi mh zzk
Zzk bado hajafika
Ndio zzk anaingia msafara wake umeanza na bodaboda kama 30 hv na magari mawili aina ya land cruiser
Moja yupo zzk ingine afande selle
Watanzania wanaopenda democrasia wamsapot zzk na act maana hata magari yao yamechoka vyombo vya mziki navyo vinasuasua
Bado hawajaanza mike zinazingua
Bodaboda wamelipwa na wameondoka
Mike zimekubali na mjumbe wa kamati kuu MAMA TERRY anongea....mike zimezingua tena
kidogo mama anajua kuamasisha anachangamsha kidogo
Anashukuru watu kihudhiria
MAMA TERRY anasema act italeta amani na usawa....anasema ni chama cha wanyonge tikichahue ili watatue matatizo
Mama ansema wataboresha sekta ya afya na elimu
Mama anasema tatizo la nchi yetu ni kichagua viongozi wabovu....anasema tisiwapigie kura mafisadi
Afande selle amepanda jikwaani kuongea
Anasema amejufunzia maisha Lindi
Anasema atakuwa mbunge wa kwanza mwenye rasta bungeni
Afande anasema kuwa atagombea ubunge moro..
Wanamsifu mbunge wa Lindi mh Barwani..
Anasema Lindi kwanza na chama baadae
Anasema act hawaitani waheshimiwa Bali wanaitana NDUGU
Ndg zzk anapanda jikwaani
Anasema ni Mara ya kwanza kifanya Mkutano Lindi
Anasema ameitetea sana Lindi na mtwara bungeni
Ansema mikoa hii iko nyuma kimaendeleo
Anasema mungu ametupa utajiri wa gesi ila kuna watu wanawanyonya watu wa Lindi na mtwara
Zzk anasema sheria za gesi zote ni mbovu kwa sababu hazikushirikisha wananchi
Tusikubali kuwa maskini wakati tuna utajiri
Tuwaambie viongozi wetu hatutak kunyonywa
Anaelezea azimio la tabora
Anasema kansa ya nchi ni ufisadi
Anasema inabidi kuwe na sheria Kali na miiko ya viongozi
Kwenye azimio la tabora Luna miiko ya viongozi
Hakuna kuchanganya uongoz wa uma na biashara
Anasema watangaza nia wa ccm wote ni wala rushwa na kila mmoja
Anasema lowassa ajieleze kihusu Richmond
Mwandosya aliharibu pia
Magufil amekula ela ua mabehewa
Membe aeleze juu ya ela za gadafi
Zzk anaendelea watangaza nia wamekuwa serikalin na wameshindwa na hawafai
Anakemea udini na ukabila
Anasema wanarejesha modernised azimio la arusha
Anasema amefukuzwa chadema ndio maana ameunda act
Wanamsifu lipumba anasema ni mwalimu wake na anamuheshimu
Anasema act wanasiasa safi hakuna matusi
Anasema ameleta chama na tuamue wenywe
AMEMALIZA