Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,043
- 1,012
Mkutano umeanza hapa Njombe kwa watu kumiminika kwa kasi. Ila mgeni wetu rasmi Salim Mwalimu naibu katibu mkuu Zanzibar bado hajafika. Ila Kamanda Rozi Mayemba anawatambulisha makamanda mbalimbali.
Salim Mwalimu ameingia sasa picha nitatuma
Salimu Mwalimu anashangiliwa sana kwa nondo anazozitoa za busara sana
Anaelezea jinsi wanavyoandamwa. Anatolea mfano tukio la Bariadi la kufyatua risasi
Wanainchi washangilia sana Mwalimu akielezea ratiba ya chadema inavyokwenda
Anazungumzia jinsi mchakato wa katiba ulivyoendeshwa kibabe na kuto kuzingatia maoni ya wananchi.
Anaeleza jinsi ccm inavyoligombanisha jeshi la polisi na wananchi. Anamuomba IGP awe makini na mchezo mchafu wa ccm.
Anaiomba tume ya uchaguzi nayo iwe makini sana na huu mchezo mchafu wa ccm
Mwalimu amemaliza mkutano Mungu ambariki sana.
Wanachi wa Njombe wamchangia Mwalimu Tsh 1135000 kwa moyo mmoja naye amelipa jimbo 635000 ziendeleze harakati ndani ya jimbo Mungu mbariki Mwalimu
Salim Mwalimu ameingia sasa picha nitatuma
Wakuu...
Naibu katibu Mkuu wa CHADEMA Kamanda Salim Mwalimu kutoka zanzibar anafanya yake ndani ya mkoa wa Njombe muda huu
Watu wamefurika kwelikweli.ni kelele kila kona...
Nawaletea kila kinachojiri hapa.
Salimu Mwalimu anashangiliwa sana kwa nondo anazozitoa za busara sana
Anaelezea jinsi wanavyoandamwa. Anatolea mfano tukio la Bariadi la kufyatua risasi
Wanainchi washangilia sana Mwalimu akielezea ratiba ya chadema inavyokwenda
Anazungumzia jinsi mchakato wa katiba ulivyoendeshwa kibabe na kuto kuzingatia maoni ya wananchi.
Anaeleza jinsi ccm inavyoligombanisha jeshi la polisi na wananchi. Anamuomba IGP awe makini na mchezo mchafu wa ccm.
Anaiomba tume ya uchaguzi nayo iwe makini sana na huu mchezo mchafu wa ccm
Mwalimu amemaliza mkutano Mungu ambariki sana.
Wanachi wa Njombe wamchangia Mwalimu Tsh 1135000 kwa moyo mmoja naye amelipa jimbo 635000 ziendeleze harakati ndani ya jimbo Mungu mbariki Mwalimu