Huyu alofatana naye ni vuai? Naibu katibu wa ccm znz? Sasa huyu yeye si ndie akiwa unguja anawambia wapemba warudi kwao..leo kajipeleka huko kufanya nini?
Pale maskani ya kisongo ambapo yeye ndio mlezi kila siku wanandika matusi dhidi ya wapemba ....hana aibu
Wito kwa wapemba hamtakiwi na ccm..wale wachache mnaokishabikia jitambueni hao hawakutakini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.