Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Wana jamvi taarifa toka pemba zina arifu kuwa hali ni mbaya katika mkutano ulio kusudiwa kufanyika leo uwanja wa gombani,mpaka muda huu watu wanatafutwa kwa posho lakini bado hali tete,chakushangaza mpaka watoto hawajasogelea uwanja kama ilivyo bara kabla ya mkutano wa ccm watoto wanakua wengi;leo wahutubiaji watahutubia migomba na nyasi chezea wapemba weye! Shaka yangu mkutano unaweza akhirishwa leo