CHADEMA wakishinda kuanzia kata 15 nakesha bar kunywa safari bariiidi na kitimoto usiku mzima.
Wow........!!
CHADEMA wakishinda kuanzia kata 15 nakesha bar kunywa safari bariiidi na kitimoto usiku mzima.
Kwanini bar mkuu na siyo kutafuta kituo cha watoto yatima ukawanunulia mchele na nyama ukasherekeea nao...hahahahCHADEMA wakishinda kuanzia kata 15 nakesha bar kunywa safari bariiidi na kitimoto usiku mzima.
Haya wakuu tujuzeni yanatoendelea huko.
na watuhumiwa wapo mahabusu na kesi inaendelea au wametoroka kama waliomuua kamanda Mbwambo (R.I.P) pale usariver??zote ccm, daraja mbili diwani aliitwa Msangi na alikufa baada ya kuwekewa sumu kwenye chakula na wana ccm wenzake..
bila shaka upigaji wa kura umemalizika na sasa kura zitaanza kuhesabiwa ni wakati nyeti mno ndio wakati ule magamba wanachomeka kura za wizi makamanda kuweni macho sana!Imetokea tena vurugu kata ya Daraja mbili baada ya dereva aw Lema na makamanda wengine watano wamesimamishwa barabarani na polisi kisha wakawashika na wakawaweka ndani hadi sasa. Baada ya hapo ikatokea vurugu na aliyekuwa mkiti aw UVCCM wilaya ya Arusha na kwa sasa M-NEC kupitia wilaya ya Arusha Bw. Dan Mwalusamba amedaiwa kutoa Bastola na kupita risasi hewani na kwa sasa polisi wanasema yupo ndani lakini cha ajabu akipigiwa simu anapokea.
Arumeru ilitokea rabsha kidogo Kati ya OCD waArumeru na Nassari lakini baadaye wakaelewana kuhusu umbali wanaotakiwa kukaa wananchi kutoka kituoni.
CHADEMA tunatakiwa kuzilinda kura kwa mkono wa chuma na kwa gharama yoyote ile.