Updates: HESLB Loan Applications 2023/2024

Updates: HESLB Loan Applications 2023/2024

Naona ni kwa baadhi ya watu wengine bado haijaonesha hivo
Hivi kuwahi kukamilisha maombi ya mkopo ndio inapelekea kuwahi kujibiwa ?

Mm nililipia form tng August 8 nkaja kukamilisha maombi October 2, hii imekaaje wataalamu?
 
Hivi kuwahi kukamilisha maombi ya mkopo ndio inapelekea kuwahi kujibiwa ?

Mm nililipia form tng August 8 nkaja kukamilisha maombi October 2, hii imekaaje wataalamu?
Hapana kuwahi kukamilisha maombi hakupelekei mkopo kupata mapema. Miaka ya nyuma walikua wanatoa kwa batch, inatoka ya kwanza mpaka ya tatu. Kipindi hiki sijajua wametumia utaratibu gani. Ngoja watu wa HESLB waje wafafanue zaidi
 
Hapana kuwahi kukamilisha maombi hakupelekei mkopo kupata mapema. Miaka ya nyuma walikua wanatoa kwa batch, inatoka ya kwanza mpaka ya tatu. Kipindi hiki sijajua wametumia utaratibu gani. Ngoja watu wa HESLB waje wafafanue zaidi
Alrght
 
Msaada wakuu. Nilimfanyia dogo application ya loan ila badae walidemand niweke bank details na niliweka. Ila sasa nikiingia kwenye account wananiletea ujumbe huu hapa chini.
Je watatoa muda wa kufanya correction au inakuwaje?
Screenshot_20231020-150933_Chrome.jpg
 
Msaada wakuu. Nilimfanyia dogo application ya loan ila badae walidemand niweke bank details na niliweka. Ila sasa nikiingia kwenye account wananiletea ujumbe huu hapa chini.
Je watatoa muda wa kufanya correction au inakuwaje?View attachment 2787334
Endelea kufanya hyo correction inayotakiwa mkuu, maana hpo wanakuconsider kuwa ulishawatumia
 
Haina matumaini sana coz kila aliyeapply akakamilisha inamuonesha hivo, inaonyesha documents ziko verified so subiri kama utapata or not kulingana na taarifa ulizojaza
Lakini kumbuka kila mwenye sifa na vigezo vya kupata anapata.

Hiyo ikikuandikia wait for allocation process maana yake wanasubiri kuona unastahili kupata mkopo kwenye sehemu ipi na ipi?

Obviously ni lazima apate status ikiwa hivyo.
 
Msaada wakuu. Nilimfanyia dogo application ya loan ila badae walidemand niweke bank details na niliweka. Ila sasa nikiingia kwenye account wananiletea ujumbe huu hapa chini.
Je watatoa muda wa kufanya correction au inakuwaje?View attachment 2787334
Wanatoa muda wa kufanya corrections ila usisubiri huo muda wewe fanya corrections then submit itaenda fresh.
 
Wanatoa muda wa kufanya corrections ila usisubiri huo muda wewe fanya corrections then submit itaenda fresh.
Sawa mkuu nimekuelewa ngoja nifanye chap. Nikajua wamefunga mtandao
 
Sawa mkuu nimekuelewa ngoja nifanye chap. Nikajua wamefunga mtandao
Hapana. Ukisha submit application yako ndani ya muda hata pakiwa na sehemu za marekebisho unarekebisha tu hata kama dirisha limefungwa maana wao wanahesabu ulishamaliza application ndani ya muda.
 
Lakini kumbuka kila mwenye sifa na vigezo vya kupata anapata.

Hiyo ikikuandikia wait for allocation process maana yake wanasubiri kuona unastahili kupata mkopo kwenye sehemu ipi na ipi?

Obviously ni lazima apate status ikiwa hivyo.
Ubarikiwe mkuu kwa faraja yko hii
 
Humu watoto kumbe wengi sana, bado mnahangaika na boom?.
 
Back
Top Bottom