ushahd
Senior Member
- Jul 30, 2019
- 176
- 104
nami niliwaza hivyo maana vyuo vingi vinaanza kupokea first year tarehe 23 mwezi huu na mara nyingi Board huwa inatoa majibu kabla ya tarehe ya vyuo kuanza kupokea wanafunziSidhani kama itavuka tarehe 20 mwezi huu bila majibu kutoka.
shukraan mkuu