Uko tayari kwenda
kwa TB Joshua Nigeria kutibiwa HIV AIDS? Ili upate kazi siku hizi PPF
lazima uziniwe au uliwe kiboga. Lakini wana UKIMWI na wanakwenda kwa TB
Joshua awaponye Ukimwi.
Hali sio nzuri PPF wakurugenzi waname karibu wote ni wagonjwa. Wakati wa
utawala alienda Nigeria kwa TB Joshua, Mkuu alikodi ndege kumpeleka
Loliondo kwa Babu yeye na mkewekujiibu Mwingine alienda India Maini
yameoza, mwingine wa kiume ailenda India kutibiwa FISTULA, boss
alikuwaana vaa pampas ofisini.
hiyo kweli mguu pande sawa
😀