Interview ya ngorongoro conservation watu ni wengi sna kuna jamaa nimekutana nae ni mwalim wa shule ya msingi ila amefanya interview ya office assistant
Interview ya ngorongoro conservation watu ni wengi sna kuna jamaa nimekutana nae ni mwalim wa shule ya msingi ila amefanya interview ya office assistant
Interview ya ngorongoro conservation watu ni wengi sna kuna jamaa nimekutana nae ni mwalim wa shule ya msingi ila amefanya interview ya office assistant
Bro tafadhari naomba msaada hapa.... nimepata taarifa toka kwa walio fanya usaili leo kuwa... kuna walio fanya usaili wa tanapa hapo hapo chuo cha uhasibu je ni kweli mlitangaziwa hili....
Itakuwa ni vizuri mkuu ukatoa hata kasomo kidogo juu ya hilo hakika utakuwa umesaidia vijana wengi hakuna anaependa kutumikishwa ila hali haziruhusu hasa ukifatilia maisha mtu atokayo usikute labda wewe wakishua ebu wafungue vijana kipi na kipi wafanye ili wajikwamue ukiacha zile theory za kina shigongo ambazo nyingi ni nadharia zaidi.