Habari jf doctors.
Nimekuja kwenu kuomba msaada, kuna jamaa Yangu amepata ajali na tetesi zinasema amepasuka macho yote mawili.
Ninaombwa kujuzwa yafuatayo.
1. Macho yaliyopasuka yanaweza kuona tena baada ya matibabu labda operations au??
2 je IPO teknolojia ya kuhanisho jicho kwa MTU mzma na kumpa mgonjwa?
Kama IPO inapatikana Tanzania?
Asanteni, Mungu awabariki.
Nimekuja kwenu kuomba msaada, kuna jamaa Yangu amepata ajali na tetesi zinasema amepasuka macho yote mawili.
Ninaombwa kujuzwa yafuatayo.
1. Macho yaliyopasuka yanaweza kuona tena baada ya matibabu labda operations au??
2 je IPO teknolojia ya kuhanisho jicho kwa MTU mzma na kumpa mgonjwa?
Kama IPO inapatikana Tanzania?
Asanteni, Mungu awabariki.