Upasuaji wa kwanza wa kuhamisha kichwa kufanyika

bukoba boy

JF-Expert Member
Jan 15, 2015
5,372
3,945
Kwa mara ya kwanza daktari wa Italia atajaribu kufanya operation ya kuhamisha kichwa kutoka kwa raia wa Urusi anaeugua ugonjwa wa kuharibu misuli yake(muscle wasting).
Team ya madaktari 100 itatumika kufanya upasuaji huo mwaka 2017 na itagharimu $15m.
Daktari atakaeongoza jopo hilo anasema tatizo kubwa ni kufanya ubongo kuwa hai kipindi chote cha upasuaji.

Source:
Neurosurgeon to attempt world's first head transplant - Al Jazeera English

 
Pamoja na kuwa katika maendeleo ya sayansi mengi yaliyokuwa yanaonekana hayawezekani yamewezeka lakini kwa upasuaji huu na mashaka sana kama utafanikiwa!
 
Pamoja na kuwa katika maendeleo ya sayansi mengi yaliyokuwa yanaonekana hayawezekani yamewezeka lakini kwa upasuaji huu na mashaka sana kama utafanikiwa!

Kwa kifupi,huu ni uhamishaji wa kiwiliwili kwenda kuunganisha na kichwa kingine,ndio kuna madaktari kadhaa wana hofu na wengine wana imani itafanikiwa.
Haitojulikana mpaka 2017.
 
si wajaribu kwanza kwa wanyama? sijasikia hiyo kitu wakifanya hata kwa kuku
 
si wajaribu kwanza kwa wanyama? sijasikia hiyo kitu wakifanya hata kwa kuku


niliwahi kufuatilia hii habari wanadai walifanya kwa panya ... lakini waliishi kwa dakika kadhaa! sikumbuki muda gani lakini hawakufikisha lisaa... ila walifanikiwa kiasi....

nilisoma kitambo unaweza fatilia online ...

ukienda youtube kuna hadi videos za huyu jamaa aliyejitolea ...
 
Kwa akili ya fasta nisiye daktari naona kuna kichinjwa kwanza (kwa namna yoyote ile) ndipo wakufanyie hiyo transplant!! Bora nife. Unapoteza identity kabisa
 
Kwa akili ya fasta nisiye daktari naona kuna kichinjwa kwanza (kwa namna yoyote ile) ndipo wakufanyie hiyo transplant!! Bora nife. Unapoteza identity kabisa

Identity haipotei,unabaki na kchwa chako.
 



niliwahi kufuatilia hii habari wanadai walifanya kwa panya ... lakini waliishi kwa dakika kadhaa! sikumbuki muda gani lakini hawakufikisha lisaa... ila walifanikiwa kiasi....

nilisoma kitambo unaweza fatilia online ...

ukienda youtube kuna hadi videos za huyu jamaa aliyejitolea ...

Let us hope it becomes successful for the sake of humanity.
 
si wajaribu kwanza kwa wanyama? sijasikia hiyo kitu wakifanya hata kwa kuku




niliwahi kufuatilia hii habari wanadai walifanya kwa panya ... lakini waliishi kwa dakika kadhaa! sikumbuki muda gani lakini hawakufikisha lisaa... ila walifanikiwa kiasi....

nilisoma kitambo unaweza fatilia online ...

ukienda youtube kuna hadi videos za huyu jamaa aliyejitolea ...

waliishafanya mpaka kwa mbwa... baada ya kazi kuisha mbwa aliishi sikuchache tu akafa.
 
Back
Top Bottom