Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,018
Jameni Watanzania wote tu mashahidi wa kazi nzr za Mhe: Dr. John Pombe Magufuli nchi nzima. Big up mheshimiwa.
Licha ya kazi yako nzr kuna mapungufu madogo madogo ya kiutendaji au ya kiubinadamu- kwani wanadamu wote hatuko 100% perfect!
Jam aka msongamano wa Jiji la Dsm nilidhani ingekuwa ni fundisho tosha kwa Wizara yako, Wizara ya Ardhi (Mipango miji na makazi) na TAMISEMI kwa ujumla. Ama kweli hii Tanzania, mambo yako tofauti kabisa na udhaniavyo!
Nadhani Jam hii ingekuwa chachu ya kupangilia miji kama Mwanza, Arusha, Mbeya na hata Tanga.
Jiji la Mwanza lina barabara kuu 2! Mwanza-Shinyanga na Mwanza-Musoma. Maajabu ya Jiji hili ni upanuzi unao endelea kufanyika. Ni wa ajabu sijawahi kuona duniani ktk karne hii ya 21!
Mwz-Musoma-wanapunua njia3 , kwa baadhi ya maeneo tu na si kote. Hivyo hupanua kwa kuruka ruka! Yaani ni viraka hata sielewi inatoka wapi inaenda wapi! Hivyo ni vigumu kwa dereva kuja na njia ya 3 gafla, njia ikakoma na kulazimika kuunga njia2. Hapa kuna uwezekano wa kujitakia ajali nyingi za kutosha! Na kuishia kuwalaumu madereva bure!
Kwa Jiji kama Mwz kuwa na barabara kuu 2 tu ni ufinyu wa kufikiri kwa TANROADS na Wizara yako kwa ujumla. Hata kama zingekuwa 2 ni bora zingekuwa na njia 8 kila moja. Tatzo la TANROADS MWANZA wamekariri mkandarasi wa barabara kila sehemu NYANZA ROADS hata kama kazi zake ni za ajabu ajabu. Mfano pale Pamba Road, Pepsi, TANESCO, BUTIMBA CORNER, nk
Pale MISSION wanajenga soko la kimataifa. Parking hamna! Kuna Jam kila siku hata kabla ya soko kufunguliwa! Je likifunguliwa hali itakuweje? Soko lenyewe ni ONE direction-magari yote pale.
Maoni:
1. TANROADS na Wizara ya Ardhi mkae chini bunini barabara nyingi mpya ingali fidia ikiwa nafuu.
2. Ujenzi wa barabara si kurundika kokoto au zege na Cement njiani! Zoezi hili linahitaji utaalam wa hali ya juu. Mnaweka matuta barabarani utadhani mñakinga maji! Mf. Barabara ya Mwanza-Malimbe SAUT. Tumieni wataalam.
3. Hizi barabara 3 mnazojenga haziwajali watembea kwa miguu! Hivi watanzania wote wana uwezo wa kumiliki magari? Tumieni mfano wa barabara ya Mwanza-Airport (Nela). Nadhini hii ilijengwa na mzungu. Watanzania tusijifanye wehu wakati akili tunazo!
4. Mpango wa njia 8 uanze mapema. Kama takwimu za Mhe: Mbowe ziko sahihi , za magari 300, 000 huingizwa kwa wiki( sina uhakika sana). Hali itakuwa mbaya sana Tanzania iwàpo hatuna mipango ya kukabiliana na ongezeko hili.
5. Kama ningekuwa Waziri wa Ujenzi au wa Ardhi watendaji wasio wabunifu ningefukuza kazi wote! Jam, na migogoro ya ardhi chanzo ni wao. Macho yote kupiga hela tu. Hivi ni kwani tu act baada ya tatzo? Mfano: Mafuriko ya Dar na ujenzi wa mtaro!
6. Karne hii ya 21 hatuitaji Roundabout za taa au magari kusubiliana. Ni moja ya sababu za Jams Dar. Ziwe pana na moja kwa moja ether juu au chini.
7. Watanzania na walipa kodi wote hatutaki utitiri wa barabara! Bali barabara zenye viwango sahihi na matumizi sahihi. Kuna barabara Ipo Musoma-Tarime ina miaka 10+ ni imara kuliko za Dr. Magufuli za mwaka 2012!
Ni ushauri tu mkipenda muutumie, msipopenda muuache.
Licha ya kazi yako nzr kuna mapungufu madogo madogo ya kiutendaji au ya kiubinadamu- kwani wanadamu wote hatuko 100% perfect!
Jam aka msongamano wa Jiji la Dsm nilidhani ingekuwa ni fundisho tosha kwa Wizara yako, Wizara ya Ardhi (Mipango miji na makazi) na TAMISEMI kwa ujumla. Ama kweli hii Tanzania, mambo yako tofauti kabisa na udhaniavyo!
Nadhani Jam hii ingekuwa chachu ya kupangilia miji kama Mwanza, Arusha, Mbeya na hata Tanga.
Jiji la Mwanza lina barabara kuu 2! Mwanza-Shinyanga na Mwanza-Musoma. Maajabu ya Jiji hili ni upanuzi unao endelea kufanyika. Ni wa ajabu sijawahi kuona duniani ktk karne hii ya 21!
Mwz-Musoma-wanapunua njia3 , kwa baadhi ya maeneo tu na si kote. Hivyo hupanua kwa kuruka ruka! Yaani ni viraka hata sielewi inatoka wapi inaenda wapi! Hivyo ni vigumu kwa dereva kuja na njia ya 3 gafla, njia ikakoma na kulazimika kuunga njia2. Hapa kuna uwezekano wa kujitakia ajali nyingi za kutosha! Na kuishia kuwalaumu madereva bure!
Kwa Jiji kama Mwz kuwa na barabara kuu 2 tu ni ufinyu wa kufikiri kwa TANROADS na Wizara yako kwa ujumla. Hata kama zingekuwa 2 ni bora zingekuwa na njia 8 kila moja. Tatzo la TANROADS MWANZA wamekariri mkandarasi wa barabara kila sehemu NYANZA ROADS hata kama kazi zake ni za ajabu ajabu. Mfano pale Pamba Road, Pepsi, TANESCO, BUTIMBA CORNER, nk
Pale MISSION wanajenga soko la kimataifa. Parking hamna! Kuna Jam kila siku hata kabla ya soko kufunguliwa! Je likifunguliwa hali itakuweje? Soko lenyewe ni ONE direction-magari yote pale.
Maoni:
1. TANROADS na Wizara ya Ardhi mkae chini bunini barabara nyingi mpya ingali fidia ikiwa nafuu.
2. Ujenzi wa barabara si kurundika kokoto au zege na Cement njiani! Zoezi hili linahitaji utaalam wa hali ya juu. Mnaweka matuta barabarani utadhani mñakinga maji! Mf. Barabara ya Mwanza-Malimbe SAUT. Tumieni wataalam.
3. Hizi barabara 3 mnazojenga haziwajali watembea kwa miguu! Hivi watanzania wote wana uwezo wa kumiliki magari? Tumieni mfano wa barabara ya Mwanza-Airport (Nela). Nadhini hii ilijengwa na mzungu. Watanzania tusijifanye wehu wakati akili tunazo!
4. Mpango wa njia 8 uanze mapema. Kama takwimu za Mhe: Mbowe ziko sahihi , za magari 300, 000 huingizwa kwa wiki( sina uhakika sana). Hali itakuwa mbaya sana Tanzania iwàpo hatuna mipango ya kukabiliana na ongezeko hili.
5. Kama ningekuwa Waziri wa Ujenzi au wa Ardhi watendaji wasio wabunifu ningefukuza kazi wote! Jam, na migogoro ya ardhi chanzo ni wao. Macho yote kupiga hela tu. Hivi ni kwani tu act baada ya tatzo? Mfano: Mafuriko ya Dar na ujenzi wa mtaro!
6. Karne hii ya 21 hatuitaji Roundabout za taa au magari kusubiliana. Ni moja ya sababu za Jams Dar. Ziwe pana na moja kwa moja ether juu au chini.
7. Watanzania na walipa kodi wote hatutaki utitiri wa barabara! Bali barabara zenye viwango sahihi na matumizi sahihi. Kuna barabara Ipo Musoma-Tarime ina miaka 10+ ni imara kuliko za Dr. Magufuli za mwaka 2012!
Ni ushauri tu mkipenda muutumie, msipopenda muuache.