Rais aliagiza watumishi takribani 59 elfu wapandishwe daraja kufikia mwezi wa 11 mwaka huu, na kuna barua ya katibu mkuu utumishi akiwaagiza maafisa utumishi warekebishe mishahara ya watu mwisho ilikuwa 30/11/2017,nilitegemea kuona mabadiliko yoyote kwenye mshahara wa mwezi wa 12 lakini hakuna nyongeza yoyote.
Mheshimiwa rais aliwadanganya watumishi.
Mheshimiwa rais aliwadanganya watumishi.