Yaani binadamu na ngedere ni mandugu wa karibu sana. Yaani kwa muonekano hapo ni kama ndo wanamunyana viroboto! 😀

Haina huo uwezo ya kichina badili simu mkuuMbona kwenye Simu yangu aufunguki, uwo upaja?
nikifikiria kuwa huyo jamaa ni mnenguaji, yaani mwanaume mnenguaji, huwa inatia kinyaa sana. sipendi miziki yenu sasa mwanaume kabisa unaajiriwa kungengua? halafu madada wafanyeje sasa.