Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,353
Aliyenipa hii stori nilimjjua kupitia JF, kama utaisoma usinisute tafadhali, nia yangu ni kufahamisha wengine yanayoendelea duniani.
Kuna kijana wa ki Tanzania alikwenda Uingereza kusoma MBA. Alikua mgeni na hajui mji. Kanisa lilikokua karibu na University lilikua Church of England. Padri akiwa mtu mzima sana.
Baada ya misa walimkaribisha chai, walimuomba pia kuwa kama ataweza kujiunga na usomaji wa masomo kanisani. Katika mazungumzo walimuona jamaa yuko bright sana. Walimueleza jinsi kulivyo na uhaba wa mapadre wa Anglicana. Jamaa hakua muanglicana. Walimueleza kuwa kuna funds za kupeleka vijana kusomea degree ya theology Canterbury lakini hatupati watu.
Kijana akizingatia ni self sponsor wa kozi yake. Akachambishe vibibi apate ada. Aliwauliza kama anaweza kuomba, walimkubali haraka. Alikua bado na viza ya uanafunzi aliomba chuo cha theology akapata with full sponsorship.
Amaemaliza shule sasa ni padre. Amepewa jimbo lake huko kwa wazungu mashambani huko. Yeye ndiye anasimamia Ibada za mazishi, ubatizo, ndoa.
Kuna vizee vinamfuta vinamwambia mimi Nina akiba ya £100,000 ninataka zibadilishe maisha ya watu. Ninakuamini wewe baba Padre.
Jamaa maisha yake yamebadilika kabisa. Amenza kwa kusimamisha ghorofa kijijini kwao.
Kuna kijana wa ki Tanzania alikwenda Uingereza kusoma MBA. Alikua mgeni na hajui mji. Kanisa lilikokua karibu na University lilikua Church of England. Padri akiwa mtu mzima sana.
Baada ya misa walimkaribisha chai, walimuomba pia kuwa kama ataweza kujiunga na usomaji wa masomo kanisani. Katika mazungumzo walimuona jamaa yuko bright sana. Walimueleza jinsi kulivyo na uhaba wa mapadre wa Anglicana. Jamaa hakua muanglicana. Walimueleza kuwa kuna funds za kupeleka vijana kusomea degree ya theology Canterbury lakini hatupati watu.
Kijana akizingatia ni self sponsor wa kozi yake. Akachambishe vibibi apate ada. Aliwauliza kama anaweza kuomba, walimkubali haraka. Alikua bado na viza ya uanafunzi aliomba chuo cha theology akapata with full sponsorship.
Amaemaliza shule sasa ni padre. Amepewa jimbo lake huko kwa wazungu mashambani huko. Yeye ndiye anasimamia Ibada za mazishi, ubatizo, ndoa.
Kuna vizee vinamfuta vinamwambia mimi Nina akiba ya £100,000 ninataka zibadilishe maisha ya watu. Ninakuamini wewe baba Padre.
Jamaa maisha yake yamebadilika kabisa. Amenza kwa kusimamisha ghorofa kijijini kwao.
