Uozo wa CHADEMA Hadharani

mie hapo ndio nape ananichosha kabisa.Alijifanya kupambana na ufisadi ndani ya chama,akapewa ukuu wa wilaya, kwa nini asikatae kama ni msafi?hata mafisadi na uchafu wao wamesema hawawezi kumnunua kwenye kambi yao,kwa sababu hajui anachokifanya.sasa subiri kabali yake inakuja.Cheap politician.
 
Kishongo wewe ni miongoni mwa wanoimaliza nchi hii watu kama nyinyi mngekua China tungekua tumekusahau kabisa! Jirekebishe.
 
Mnalalamika nini! na nyie ndio wenye dola.
Oh Cdm nao ni mafisadi. nawashangaa kiukweli!
kwani hivyo nyie ccm mmesha kubali kuwa ni mafisadi na mnataja wengine. au!
Hivi mnaionaje Cdm wangekuwa ndio wenye dola mngeishia jela.
Kama mnacho ongea ni kweli washitakini sio kuchonga mitaani.
 
source mzalendo pumbavuu, nape ukitoka singida pitia mirembe ndo stahili yako pale, kichwa yako imepata hitilafu. mzalendo, uhuru hivi haya magazeti bado yapo na kama yapo naomba kujuzwa yanasomwa na watu wa sampuli gani. shame nape, shame kishongo, shame m/kiti and shame ccm. pu
 
blah blah.....ccm have mountain to climb ,is this how u want to justify your ufisadi ? ,we want to hear how do u tackle overwhelming corruption in ur government,how do u improve the life of common people and how u impliment community development project, we want implimentation not blah blah......people are tired
 
Kishongo wewe ni miongoni mwa wanoimaliza nchi hii watu kama nyinyi mngekua China tungekua tumekusahau kabisa! Jirekebishe.

Ubaya wangu ni kuanika jinsi Dr Slaa anavyohujumu uchumi wetu kwa kukwepa kulipa kodi?
Kama ndiyo, niko tayari kwa unayodai yanafanywa kwa watu kama mimi kule China.
 
Source: GAZETI LA MZALENDO yanawahusu nyie mnaosoma magazeti ya magamba vueni kwanza ggamba acheni porojo
 

wewe ni ****** tena wa nyani maana watu wanaongelea ufisadi kwenye serikali wewe habari za uongo nenda kakojolewe
 

Nina mashaka na hilo gazeti lako la MZALENDO sitashangaaa mhariri mkuu akawa Salva!!
 
Mzalendo nia aina nyingine ya toiletpaper,kishongo ni wakala wa hizo toiletpaper brand new.nyambafu!
 
WanaJF, msisahau kwamba miezi michache iliyopita UVCCM walikuwa wakiandaa mkakati wa kupambana na wapinzani na mbinu yao kubwa ni kutumia magazeti. Sasa ndio wanaanza, lakini, uongo utajitenga na ukweli kwa sababu viwili hivyo huwa havichangamani HATA KIDOGO. No sawa na "maji" na "mafuta." Ni sawa na "nuru" na giza" hivi kamwe havikai pamoja na utamu wake ni kwamba "nuru" iking'aa giza linakimbia na maana yake ni kwamba "nuru" ina nguvu kuliko "giza." UKWELI una nguvu kuliko uongo. Propaganda hizi za kuchafuana bila ukweli ndani yake utawagharimu waongo. Mimi nilidhani Chama Tawala kingechukua hatua ya zaidi ya "kujivua gamba" yaani kuondokana na "sumu" ambayo ni hatari kuliko gamba wanalokazana kujivua! CCM, inabakia kuwa ile ile kama haitaondokana na sumu na kinachidhihirisha kwamba CCM ni ile ile ni huu uzandiki unaoendelezwa na wapiga debe wake. Badala ya kushughulika ili kupata ufumbuzi wa ugumu wa maisha unaowakabili wananchi wanakaa kujadili mambo ambayo ukiyasikiliza kwa makini yanawahusu wao kuliko hao wanaowatuhumu! Sumu mbaya kuliko gamba. Wajivue sumu za ukitimbakwiri (ufisadi), rushwa, tamaa ya mali, ubinafsi na sasa huu UONGO uliokithiri.

Kinachonifurahisha mimi ni kwamba wakiendelea hivi tutajua mengi maana sasa wapiga debe wanaropoka kama watu waliokunywa pombe iliyowekwa kitu wachagga wanachokiita "kimangano" ambacho ukinyweshwa hiyo kama wewe mchawi utaanza kuweweseka na kuwataja watu uliowaua na uliokuwa unapanga kuwaua. Chadema msijibu hoja za kipumbavu ila zile tu zitakazohatarisha usalama wa Chama na nchi yetu tunayoipenda. Peoples' Power is the only and true way to true liberty.
 
mimi siungi mkono ufisadi popote pale being in CCM, CDM, Serikalini au nyumbani kwangu ila pia nakereka na propaganda za kingese!! kuna gazeti (nafikiri ni Mwanahalisi) wakileta ishu kama hizi wanaleta na photocopy za hizo nyaraka!! sasa hawa wanasema wana nyaraka lakini wanakaa nazo, za nini sasa??? ili iwe nini?? pyuuu!!! mshahara wa Slaa na madeni ya CDM yananiathiri nini mimi kapuku/lofa wa huku Lushoto?? najua CDM hawatakuwa na muda wa kujibu hii crap. Habari kama hii isiyo na ushahidi wa nguvu wanajua haina athari zaidi zaidi inawshushia hadhi hili gazeti.
 
Tunashukuru kwa taarifa hii ambayo naamini si rasmi hivi kweli chama cha upinzani kiingize vifaa kwa njia za panya??? Inaingia akilini?, Usalama wa Taifa na dola kwa ujumla walikuwa likizo??? Kama walikamata visu fafe wakajitia ni vya CUF 2005 walishindwaje kukamata vifaa vya CHADEMA???? Jamani acheni hizo andikeni mambo yenye mashikooooo
 
Sio kila source inafaa kuwa kama reference baadhi ya source eg. Mzalendo wanatumiwa. Kama TRA wanajua kuwa CHADEMA wanakwepa kulipa kodi na wamekaa kimya, nao pia wana matatizo!!!!!

Ndugu yangu nakuunga mkono kwani serikali ya ccm iliyopo madarakani ktk kitengo hicho cha TRA walikuwa wapi mpaka leo hii wanajiwashia utambi pasipo kujua utawalipukia wao!
Kweli ccm wote vilaza wanakurubuka kama tumbo la kuumwa.
CHADEMA songeni mbele kwani washindani wenu wanaongozwa na nguvu za giza kwani wanachofikiria ni pumba tu!
 
Mkuu Kishongo
Nafikiri, sio jukumu letu kufuatilia nani analipa kodi na nani alipi, TRA wapo kwa ajili iyo, wanachukua mshahara kuhakikisha kuwa kila mtu anawajibika kwa kulipa kodi, kama wameshindwa hakuna mbadala niwao wawajibike. Tukisema kuhusu tuhuma kwa Dr Slaa, nafikiri aliyetakiwa kuwajibika kwanza kabla ya yeyote ni JK na chama chake, wizi wa EPA, Kagoda, Richmond, Rada, BoT, yote ayo ni dhahiri kuna uozo mkubwa. Anza na hao kwanza ndo urukie kwa watendaji wengine wasio serikalini na kwenye chama tawala. Kwa sababu wizi unaofanyika ndani ya Serikali (mfano BoT ) una athari ya moja kwa moja katika maisha ya mtanzania.

Kuna ishu muhimu za kujadili, kama vile ni namna gani tunaweza kusonga mbele kama taifa kutoka kwenye ili dimbwi la umasikini tulilinonalo na tuungane na wenzetu kwenye karne ya 21. Nchi haina maji wala umeme wa kuaminika, aya ndo mambo ya kujadili, na waliotufikisha hapa bado tunao mtaani. Kama bado una mtizamo wa kutumia bajaji kama ambulance na zimamoto, wakati wenzentu wanaongelea kuweka electrical car milioni moja barabarani mwishoni mwa mwaka 2015 sidhani kama utakuwa unafikiri sawasawa.

Hili linatakiwa likuhuzunishe hata wewe.
Wanaokwepa kulipa kodi ni maadui wakubwa wa nchi.
Washughulikiwe ili liwe fundisho.
 
this is just neologism,i am sad that the country is lead by this bunch of short sighted ******! CHADEMA IS A VIRGIN!
 
O

Mkuu mathius, kashongo na wenzake ndo aina ya viongozi wanaoiongoza Tz. Huo ndo ukomo wa vikra zao, hawafikirii kuboresha huduma za jamii, wanafikiri kuchafua chama pinzani kwa hoja dhaifu kama hizi pamoja na kuwagawa wanTz kwa hoja za udini na ukabila.
Inauma sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…