raisi2020
Member
- Mar 4, 2016
- 82
- 83
Kwa kiongozi yeyote atakayesoma thread hii kama utakuwa mzalendo wa kweli naomba ulifanyie kazi, jana nimekwenda hospital ya Amana, kwa kuanza tu mapokezi kuna mkaka mmoja amenipa namba na kunisikiliza vizuri sana.
Akaniambia nizunguke kwa nyuma katika hiyo hiyo mapokezi kuna wapokezi wengine kwa ajili ya kulipia registration fee, kuna dada mmoja mweupe anajifunga ushungi kama wakiarabu flani lakini si mwarabu huyu dada customer service yake ni mbovu mbovu.
Pia mbele yake kidogo kuna kaka mwengine yeye anachajisha pesa pia hafai kabisa anahadithia movie huku wagonjwa wamesimama dirishani, huyu dada nae ukimwongelesha kama hakuoni anakutupa kwa huyo mkaka then kaka nae anakutupa kwa dada, mgonjwa unabaki huelewi kabisa. Tukija kwa doctors utaratibu ni mbovu sijapata kuona wagonjwa mnajipanga wenyewe pasi usimamizi wa nesi anayemsaidia doctor, kwenye foleni ugomvi mtindo mmoja,
Naomba usalama wa taifa, viongozi wa nchi yangu Tanzania tufanye kazi na si masihala watanzania wanapata shida katika hospitals hizi, watumishi hawajui kilichowapeleka pale.
Akaniambia nizunguke kwa nyuma katika hiyo hiyo mapokezi kuna wapokezi wengine kwa ajili ya kulipia registration fee, kuna dada mmoja mweupe anajifunga ushungi kama wakiarabu flani lakini si mwarabu huyu dada customer service yake ni mbovu mbovu.
Pia mbele yake kidogo kuna kaka mwengine yeye anachajisha pesa pia hafai kabisa anahadithia movie huku wagonjwa wamesimama dirishani, huyu dada nae ukimwongelesha kama hakuoni anakutupa kwa huyo mkaka then kaka nae anakutupa kwa dada, mgonjwa unabaki huelewi kabisa. Tukija kwa doctors utaratibu ni mbovu sijapata kuona wagonjwa mnajipanga wenyewe pasi usimamizi wa nesi anayemsaidia doctor, kwenye foleni ugomvi mtindo mmoja,
Naomba usalama wa taifa, viongozi wa nchi yangu Tanzania tufanye kazi na si masihala watanzania wanapata shida katika hospitals hizi, watumishi hawajui kilichowapeleka pale.