NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,288
- 12,789
Nilishangazwa kuona timu anakabidhiwa Daniel Cadena ambaye ni kocha wa makipa wakati Kuna kocha mbobevu na mwenye uzoefu mkubwa katika michuano ya ndani na kimataifa si mwingine ni kochaJuma Mgunda.
inakuache kocha wa Makipa anakabidhiwa timu?!
Nini kipo nyuma ya pazia mpaka kocha Juma Mgunda anaachwa na kutopewa timu Ina maana viongozi wamesahau mchango wa Juma Mgunda ndani ya Simba sc !?
Kwa Simba sc kudondosha point mbili muhimu dhidi ya Namungo Fc wakulaumiwa ni viongozi na si vingine.
Tukubal tukatae Juma Mgunda Ni moja ya makocha wazuri wazawa ndani ya ligi yetu.
inakuache kocha wa Makipa anakabidhiwa timu?!
Nini kipo nyuma ya pazia mpaka kocha Juma Mgunda anaachwa na kutopewa timu Ina maana viongozi wamesahau mchango wa Juma Mgunda ndani ya Simba sc !?
Kwa Simba sc kudondosha point mbili muhimu dhidi ya Namungo Fc wakulaumiwa ni viongozi na si vingine.
Tukubal tukatae Juma Mgunda Ni moja ya makocha wazuri wazawa ndani ya ligi yetu.