babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,426
- 3,308
Kama ilivyoada kuweka kumbukumbu sawa, ni wakati wa kuweka yaliyojiri na yatarajiwayo kujiri nchini mwetu chini ya RAIS MAGUFULI.
Mosi Mheshimiwa ameshinda kwa kura milion takribani 12 na kupelekea kuapishwa kuwa Rais kwa awamu ya pili.
Mpaka sasa ameshalifungua bunge ambapo Spika amerudi Job Ndugai
Naibu wa Spika amerudi Tulia Ackson
Pia Amemteua Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Waziri wa Mambo ya Nje na Afrika Mashariki Mh. P. Kabudi
Waziri Wa Fedha Mh. Mpango.
Pia Amemteua Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Kwa Upande Wa Zanzibar Yupo Hussein Mwinyi kama Rais wa Zanzibar.
Katika uzi Huu Tuangazie Yafuatayo
1 Hali ya SIASA ilivyo kwa sasa nchini
A DEMOKRASIA/TUME ZA CHAGUZI
B KATIBA
C SIASA SAFI
D UONGOZI BORA
E BUNGE
F MAHUSIANO YA KIMATAIFA.
2 Hali ya UCHUMI ilivyo nchini
A KILIMO
B UFUGAJI
C BIASHARA NA UWEKEZAJI
D UVUVI
E USAFIRISHAJI NA UCHUKUZI
F TEHAMA
G VIWANDA
3 Hali ya Jamii ilivyo kwa sasa nchini
A AFYA
B ELIMU
C MIUNDOMBINU
D PEMBEJEO/UJENZI
E ULINZI
F MAHAKAMA ZETU
G MICHEZO
Tuainishe Mafanikio na Mapungufu yaliyojitokeza kwenye nyanja zota hapo juu na pia tuainishe Njia ya kuboresha zaidi.
Tukumbuke Tanzania ni nchi ya UCHUMI WA KATI Hivyo michango iwe na Afya. Pia tutembelee hotuba aliyoitoa Magufuli Akifungua Bunge mwezi huu wa 11 ikiwa ni dira ya 2020 to 2025.
Ahsanten Sana.
Mosi Mheshimiwa ameshinda kwa kura milion takribani 12 na kupelekea kuapishwa kuwa Rais kwa awamu ya pili.
Mpaka sasa ameshalifungua bunge ambapo Spika amerudi Job Ndugai
Naibu wa Spika amerudi Tulia Ackson
Pia Amemteua Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Waziri wa Mambo ya Nje na Afrika Mashariki Mh. P. Kabudi
Waziri Wa Fedha Mh. Mpango.
Pia Amemteua Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Kwa Upande Wa Zanzibar Yupo Hussein Mwinyi kama Rais wa Zanzibar.
Katika uzi Huu Tuangazie Yafuatayo
1 Hali ya SIASA ilivyo kwa sasa nchini
A DEMOKRASIA/TUME ZA CHAGUZI
B KATIBA
C SIASA SAFI
D UONGOZI BORA
E BUNGE
F MAHUSIANO YA KIMATAIFA.
2 Hali ya UCHUMI ilivyo nchini
A KILIMO
B UFUGAJI
C BIASHARA NA UWEKEZAJI
D UVUVI
E USAFIRISHAJI NA UCHUKUZI
F TEHAMA
G VIWANDA
3 Hali ya Jamii ilivyo kwa sasa nchini
A AFYA
B ELIMU
C MIUNDOMBINU
D PEMBEJEO/UJENZI
E ULINZI
F MAHAKAMA ZETU
G MICHEZO
Tuainishe Mafanikio na Mapungufu yaliyojitokeza kwenye nyanja zota hapo juu na pia tuainishe Njia ya kuboresha zaidi.
Tukumbuke Tanzania ni nchi ya UCHUMI WA KATI Hivyo michango iwe na Afya. Pia tutembelee hotuba aliyoitoa Magufuli Akifungua Bunge mwezi huu wa 11 ikiwa ni dira ya 2020 to 2025.
Ahsanten Sana.