Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,530
- 43,913
Kawadanganye watoto wadogo wapo wapi wakurugenzi watano wa Chadema kina Lwakatare na wenzake ambayo wote Wakirsto.1. Mwenyekiti: FREEMAN MBOWE
2. Makamu Mwenyekiti Bara: Profesa ABDALLAH
SAFARI
3. Makamu Mwenyekiti Zanzibar: SAID ISSA MOHAMED
4. Katibu Mkuu: Dk WILBROD SLAA
5. Naibu Katibu Mkuu Bara: JOHN MNYIKA
6. Naibu Katibu Mkuu Bara: SALUM MWALIM
7. Mwenyekiti wa Baraza la Wazee: HASHIM JUMA ISSA
8. Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake: HALIMA JAMES
MDEE
9. Makamu Mwenyekiti Baraza la Wanawake Bara
HAWA MWAIFUNGA 0. Makamu Mwenyekiti Baraza la Wanawake
Zanzibar:
HAMIDA ABDALLAH
1. Mwenyekiti wa Baraza la Vijana: PASCHAL KATAMBI
PATROBAS
2. Makamu Mwenyekiti Baraza la Vijana Bara: Patrick
Sosopi Kapura
3. Makamu Mwenyekiti Baraza la Vijana Zanzibar: Zeud
Mvano Abdulahi
4. Baraza Kuu Zanzibar: Janeth Medadi Fusi
5. Baraza Kuu Bara: Janeth J. Mjungu, Restitusa Said
Mjoka, Marietha Cosmas Chenyenge, Suzan Hashim
Kiwanga
6. Wajumbe wa Mkutano Mkuu waCHADEMA Taifa:
Janeth Elibariki Moshi, Edson Joel Mwemaelu, Masule
Samson Masaga, Penina Ernest Nkya, Daniel Ezekiel
Mswelo, Lutgar Chemicha Haule, Elizabeth Joseph
Riziki, Samuel Gibson Shami.
7. Wajumbe wa Mkutano Mkuu
CHADEMA Zanzibar:
Ally
Kassim Ismail, Sued Abdulhimid, Hassan Abdallah
Hamis
8. Wajumbe wa Baraza Kuu CHADEMA Bara:
Pasquina
Ferdinand Lucas, Pamela Simon Maasay, Joseph Loth
Kasambala, Helen Nangusu Dalali.
Unatuwekea majina ya Wazanzibar Chadema na Zanzibar wapi na wapi.
Kamanda ukitaka kujua kama Chadema ni chama cha kidini na kikanda angalia orodha ya washindi na wagombea ubunge wate Wakirsto bora ungekaa kimya tukianza kiwachambua utaishia kusema sisi wadini.
1. Mkurugenzi wa Oganaizesheni Mhe. Singo Kigaila Benson.(Mkristo + Mchaga)2. Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano ya ndani Mhe. John Mnyika (Mb). .(Mkristo + Mchaga)3. Mkurugenzi wa Fedha na uwekezaji Mhe. Anthony Komu. .(Mkristo + Mchaga)4. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashuri Mhe. John Mrema. .(Mkristo + Mchaga)5. Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama Mhe. Wilfred Lwakatale.