Uongozi wa CHADEMA Taifa huu hapa

Uongozi wa CHADEMA Taifa huu hapa

Uchaga na udini katika ubora wake

na mwaka huu lazima tuimalize moja kwa moja hii biashara yenu ya udini na ukabila chagadema

Mbona unaweweseka ndio umeamka nini? Au ni ule ugonjwa wako wa kichwa bado unakusumbua?
 
MATOKEO YA JIMBO LA MBEYA VIJIJINI

Adam Abraham Zella 132

Stephano Mwandiga 118
Dr. Franco Walutende 62
Daudi Mponzi 58
Antony Mwaselela 29
Frank Mwaisumbe 23
John Mwamengo 15
Moses Mwaigaga 11
Mwagwila Sheyo 8
William Msokwa 7
Jeremia Mwaweza 7
Edson Jisandu 7
Chance Mwaikambo 7
Emmanuel Shonyela 6
Jacob Willa 6
Alimu Mwasile 5
Elias Songera 3
 
Vipi hii mkuu

uongozi wa juu CCM
Mwenyekiti Jakaya Kikwete
Katibu Abdulrahman Kinana
Naibu Katibu mkuu Rajabu Luhavi
Katibu wa nec uenezi Nape nauye
Katibu nec fedha Zakia Meghi
Katibu Nec mambo ya nje Asha Migiro
Katibu nec Seif Khatibu
Makamu mwenyekiti Zanzibar Vuai Ally Vuai

kumbe ccm kuna udini kiasi hiki! nilikuwa sijuhi
 
hao wote hawana maamuzi,wenye maamuzi ni wachaga kina mtei. wengine ni mshahara mkubwa tu ili wakae kimya.
 
hao wote hawana maamuzi,wenye maamuzi ni wachaga kina mtei. wengine ni mshahara mkubwa tu ili wakae kimya.

Jaribu kuwa fair na kuonyesha kukomaa kimawazo pamoja na kisiasa Mkuu! Jina lako halitakiwi kuwaklisha jinsi wewe ulivyo kichwani.
 
Hivi tukisema wa TZ tuwajibike kujenga taifa wewe ndio umefahamu hivi?
 
Huo uchagga upo wapi?huo ukaskazini upo wapi?hongera CHADEMA ni chama cha siasa cha kitaifa zaidi.Kazeni mwendo hatuna cha kupoteza isipokuwa umasikini wetu.saa ya ukombozi ni sasa.tuungane watanzania tupate mabadiliko na maendeleo ya kweli.kwa CCM wao maisha bora ni bei za bidhaa kuongezewa kodi eg mafuta ya taa,ikataeni ccm.

Tatizo lenu mkiambiwa "CHADEMA ni chama cha Wachaga" mnaanza kuhesabu idadi ya Wachaga kwenye uongozi wa chama. Mnashindwa kutofautisha kati ya watu na mfumo. Kwa mfano, ukisikia kwamba CCM inaendesha serikali iliyokumbatia mfumo kristo, Ina maana hata viongozi wa CCM wakiwa Waislam, bado maslahi ya mfumo kristo yataendelea kuwa na nafasi zaidi kuliko maslahi ya makundi mengine (sitaki kuingia ndani zaidi, kwani mifano ipo wazi). Sasa kabla haujanishambulia kwamba mimi ni "mdini" au "mkabila", lazima uelewe kwamba falsafa ya "mfumo kristo" ina shabihiana na "mfumo Chaga" wa CHADEMA. Kwasasa, mfumo huo unasimamiwa na Mbowe na mzee mwenyewe Mtei. Lakini, kadri muda unakavyokwenda na chama kuendelea kukua, mfumo utakuwa umeshaota mizizi na kukomaa kiasi kwamba hautohitaji tena kusimamiwa na Wachaga wenyewe, bali vibaraka wao tu watatosha.
 
siwaoni akina philipo man'gula hapo na tunajua fika umefanya makusudi kutokuweka.
lakini hata hivyo hizo porojo zako haziondoi ukweli kuwa chadema kimajaa wachaga na wakristo.


uongozi wa juu CCM
Mwenyekiti Jakaya Kikwete
Katibu Abdulrahman Kinana
Naibu Katibu mkuu Rajabu Luhavi
Katibu wa nec uenezi Nape nauye
Katibu nec fedha Zakia Meghi
Katibu Nec mambo ya nje Asha Migiro
Katibu nec Seif Khatibu
Makamu mwenyekiti Zanzibar Vuai Ally Vuai
mwenyekiti cwt Sophia Simba
mwenyekiti uvccm Sadifa Juma
mwenyekiti wazazi Abdallah Bulembo
makamu uvccm Mboni Mhita

icheki na hii list hapa chini
quote_icon.png
By Reyes




Wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA ambao majina yao yamepitishwa na mikoa wanayotoka kwenye mabano ni pamoja na Lucy Owenya (Kilimanjaro), Esther Matiko (Mara) Mhonga Luhanywa (Kigoma), Anna Mallac (Katavi), Paulina Gekul (Manyara) na Conchesta Rwalumulaza (Kagera).

Wengine ni Suzan Kiwanga (Morogoro), Grace Kiwelu (Kilimanjaro), Suzan Lyimo (Kilimanjaro), Regia Mtema (Morogoro), Christowaja Mtinda (Singida), Anna Komu (Dar es Salaam), Mwanamrisho Abama (Zanzibar), Joyce Mukya (Arusha), Leticia Mageni Nyerere (Mwanza) na Naomi Kaihula (Dar es Salaam).


Majina mengine ya wateule hao ni Chiku Abwao (Iringa), Rose Kamili (Manyara), Christina Lissu (Singida), Raya Ibrahim Khamis (Zanzibar), Philipa Mturano (Dar es Salaam), Mariam Msabaha (Zanzibar) na Rachel Mashishanga (Dar es Salaam).
 
Tatizo lenu mkiambiwa "CHADEMA ni chama cha Wachaga" mnaanza kuhesabu idadi ya Wachaga kwenye uongozi wa chama. Mnashindwa kutofautisha kati ya watu na mfumo. Kwa mfano, ukisikia kwamba CCM inaendesha serikali iliyokumbatia mfumo kristo, Ina maana hata viongozi wa CCM wakiwa Waislam, bado maslahi ya mfumo kristo yataendelea kuwa na nafasi zaidi kuliko maslahi ya makundi mengine (sitaki kuingia ndani zaidi, kwani mifano ipo wazi). Sasa kabla haujanishambulia kwamba mimi ni "mdini" au "mkabila", lazima uelewe kwamba falsafa ya "mfumo kristo" ina shabihiana na "mfumo Chaga" wa CHADEMA. Kwasasa, mfumo huo unasimamiwa na Mbowe na mzee mwenyewe Mtei. Lakini, kadri muda unakavyokwenda na chama kuendelea kukua, mfumo utakuwa umeshaota mizizi na kukomaa kiasi kwamba hautohitaji tena kusimamiwa na Wachaga wenyewe, bali vibaraka wao tu watatosha.

acha kulalamika mbwiga wewe wakat wachaga wanakimbilia umande wasome nyie wamatumbi mlikuwa mnakimbia umande mshinde madrasa kutwa.kutwa nzima sasa mmepigwa gap mnalalamika nendeni shule kwa kasi bada ya miaka200 mtawakuta wachaga
 
uongozi wa juu CCM
Mwenyekiti Jakaya Kikwete
Katibu Abdulrahman Kinana
Naibu Katibu mkuu Rajabu Luhavi
Katibu wa nec uenezi Nape nauye
Katibu nec fedha Zakia Meghi
Katibu Nec mambo ya nje Asha Migiro
Katibu nec Seif Khatibu
Makamu mwenyekiti Zanzibar Vuai Ally Vuai
mwenyekiti cwt Sophia Simba
mwenyekiti uvccm Sadifa Juma
mwenyekiti wazazi Abdallah Bulembo
makamu uvccm Mboni Mhita

hahhahh duh mkristu nape tu ebwanee alaf mfumo kristu kweli elimu ya mjinga ni majungu
 
Vipi hii mkuu

uongozi wa juu CCM
Mwenyekiti Jakaya Kikwete
Katibu Abdulrahman Kinana
Naibu Katibu mkuu Rajabu Luhavi
Katibu wa nec uenezi Nape nauye
Katibu nec fedha Zakia Meghi
Katibu Nec mambo ya nje Asha Migiro
Katibu nec Seif Khatibu
Makamu mwenyekiti Zanzibar Vuai Ally Vuai
ebwaneeeeee hii ni hatare kwa afya
 
uongozi wa juu CCM
Mwenyekiti Jakaya Kikwete
Katibu Abdulrahman Kinana
Naibu Katibu mkuu Rajabu Luhavi
Katibu wa nec uenezi Nape nauye
Katibu nec fedha Zakia Meghi
Katibu Nec mambo ya nje Asha Migiro
Katibu nec Seif Khatibu
Makamu mwenyekiti Zanzibar Vuai Ally Vuai
mwenyekiti cwt Sophia Simba
mwenyekiti uvccm Sadifa Juma
mwenyekiti wazazi Abdallah Bulembo
makamu uvccm Mboni Mhita

:A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed::A S embarassed:
 
hao wote hawana maamuzi,wenye maamuzi ni wachaga kina mtei. wengine ni mshahara mkubwa tu ili wakae kimya.

Kwa hiyo hoja ya ukabila na udini imekufa kifo cha kawaida, sasa unaanza hoja nyingine ya maamuzi!! Kazi ipo!
 
uongozi wa juu CCM
Mwenyekiti Jakaya Kikwete
Katibu Abdulrahman Kinana
Naibu Katibu mkuu Rajabu Luhavi
Katibu wa nec uenezi Nape nauye
Katibu nec fedha Zakia Meghi
Katibu Nec mambo ya nje Asha Migiro
Katibu nec Seif Khatibu
Makamu mwenyekiti Zanzibar Vuai Ally Vuai
mwenyekiti cwt Sophia Simba
mwenyekiti uvccm Sadifa Juma
mwenyekiti wazazi Abdallah Bulembo
makamu uvccm Mboni Mhita
Mkuu unataka kusemaje Hapa?
 
Huo uchagga upo wapi?huo ukaskazini upo wapi?hongera CHADEMA ni chama cha siasa cha kitaifa zaidi.Kazeni mwendo hatuna cha kupoteza isipokuwa umasikini wetu.saa ya ukombozi ni sasa.tuungane watanzania tupate mabadiliko na maendeleo ya kweli.kwa CCM wao maisha bora ni bei za bidhaa kuongezewa kodi eg mafuta ya taa,ikataeni ccm.
Khaa!!na hii ndiyo list ya wabunge vitu maalum waliopita

Wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA ambao majina yao yamepitishwa na mikoa wanayotoka kwenye mabano ni pamoja na Lucy Owenya (Kilimanjaro), Esther Matiko (Mara) Mhonga Luhanywa (Kigoma), Anna Mallac (Katavi), Paulina Gekul (Manyara) na Conchesta Rwalumulaza (Kagera).

Wengine ni Suzan Kiwanga (Morogoro), Grace Kiwelu (Kilimanjaro), Suzan Lyimo (Kilimanjaro), Regia Mtema (Morogoro), Christowaja Mtinda (Singida), Anna Komu (Dar es Salaam), Mwanamrisho Abama (Zanzibar), Joyce Mukya (Arusha), Leticia Mageni Nyerere (Mwanza) na Naomi Kaihula (Dar es Salaam).


Majina mengine ya wateule hao ni Chiku Abwao (Iringa), Rose Kamili (Manyara), Christina Lissu (Singida), Raya Ibrahim Khamis (Zanzibar), Philipa Mturano (Dar es Salaam), Mariam Msabaha (Zanzibar) na Rachel Mashishanga (Dar es Salaam).


 
Back
Top Bottom