Chadema wanauongozi hivi karibuni ulionenekana kufanya maamuzu yasiyo na busara kama vile kutomtambua JK kama raisi wa TZ baadae wakabadili mawazo na hivi karibuni kukaidi amri ya wanausalama, kwa picha hii kweli hiki ni chama cha kukiamini? hasa ukizingatia swafu ya viongozi na utaalam wao kama hivi;
M/kiti Mbowe ni DJ
Katibu Slaa ni Mchungaji
Kunakila sababu ya kukiepuka chama hichi kinachotumia kanisa kupata suport ya wananchi kila siku wachungaji wanashindwa na kujitokezakutetea mchungaji mwenzao
Kweli chadema inabidi ithibitiwe vinginevyo itatupeleka pabaya wa Tanzania
M/kiti Mbowe ni DJ
Katibu Slaa ni Mchungaji
Kunakila sababu ya kukiepuka chama hichi kinachotumia kanisa kupata suport ya wananchi kila siku wachungaji wanashindwa na kujitokezakutetea mchungaji mwenzao
Kweli chadema inabidi ithibitiwe vinginevyo itatupeleka pabaya wa Tanzania