Uongozi Wa Chadema Mbofumbofu !

Uongozi Wa Chadema Mbofumbofu !

Bull

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2008
Posts
1,094
Reaction score
255
Chadema wanauongozi hivi karibuni ulionenekana kufanya maamuzu yasiyo na busara kama vile kutomtambua JK kama raisi wa TZ baadae wakabadili mawazo na hivi karibuni kukaidi amri ya wanausalama, kwa picha hii kweli hiki ni chama cha kukiamini? hasa ukizingatia swafu ya viongozi na utaalam wao kama hivi;

M/kiti Mbowe ni DJ

Katibu Slaa ni Mchungaji

Kunakila sababu ya kukiepuka chama hichi kinachotumia kanisa kupata suport ya wananchi kila siku wachungaji wanashindwa na kujitokezakutetea mchungaji mwenzao

Kweli chadema inabidi ithibitiwe vinginevyo itatupeleka pabaya wa Tanzania
 
Chadema wanauongozi hivi karibuni ulionenekana kufanya maamuzu yasiyo na busara kama vile kutomtambua JK kama raisi wa TZ baadae wakabadili mawazo na hivi karibuni kukaidi amri ya wanausalama, kwa picha hii kweli hiki ni chama cha kukiamini? hasa ukizingatia swafu ya viongozi na utaalam wao kama hivi;

M/kiti Mbowe ni DJ

Katibu Slaa ni Mchungaji

Kunakila sababu ya kukiepuka chama hichi kinachotumia kanisa kupata suport ya wananchi kila siku wachungaji wanashindwa na kujitokezakutetea mchungaji mwenzao

Kweli chadema inabidi ithibitiwe vinginevyo itatupeleka pabaya wa Tanzania
Natoa wito kwa wenye mapenzi mema na Chadema msijibu wala kuchangia thred hi ni ya kichokozi yenye lengo la provocation watu wakasirike watukane kuonyesha ushabiki wa kisiasa.
 
Natoa wito kwa wenye mapenzi mema na Chadema msijibu wala kuchangia thred hi ni ya kichokozi yenye lengo la provocation watu wakasirike watukane kuonyesha ushabiki wa kisiasa.

naunga mkono hoja.
 
Natoa wito kwa wenye mapenzi mema na Chadema msijibu wala kuchangia thred hi ni ya kichokozi yenye lengo la provocation watu wakasirike watukane kuonyesha ushabiki wa kisiasa.



Hii ni dalili nyingine ya chadema inayoonyesha hawana uwezo wa kufafanua na kujieleza zaidi wanaendeshwa na jazba pamoja na kukurupuka, nichama kilichoshindwa ku-draft au proposal ya katiba mpya zaidi ya kupiga makekelele na maandamano yasiyoeleweka

Tunapo suport chama wandugu lazima tuangalie uongozi wake wajuu kama wanauwezo, hekima na busara, hivi ni vitu adimu chadema, afterall, wanahatarisha nchi pamoja na wananchi
 
Chadema wanauongozi hivi karibuni ulionenekana kufanya maamuzu yasiyo na busara kama vile kutomtambua JK kama raisi wa TZ baadae wakabadili mawazo na hivi karibuni kukaidi amri ya wanausalama, kwa picha hii kweli hiki ni chama cha kukiamini? hasa ukizingatia swafu ya viongozi na utaalam wao kama hivi;

M/kiti Mbowe ni DJ

Katibu Slaa ni Mchungaji

Kunakila sababu ya kukiepuka chama hichi kinachotumia kanisa kupata suport ya wananchi kila siku wachungaji wanashindwa na kujitokezakutetea mchungaji mwenzao

Kweli chadema inabidi ithibitiwe vinginevyo itatupeleka pabaya wa Tanzania

Thanks Bull for this :
trash.gif
 
Chadema ni taasisi,sio mwenyekiti wala katibu mkuu wanaotoa maamuzi,ni upuuzi mtupu kusema slaa ni mchungaji ilihali dunia inajua usomi wake
 
Hii ni dalili nyingine ya chadema inayoonyesha hawana uwezo wa kufafanua na kujieleza zaidi wanaendeshwa na jazba pamoja na kukurupuka, nichama kilichoshindwa ku-draft au proposal ya katiba mpya zaidi ya kupiga makekelele na maandamano yasiyoeleweka

Tunapo suport chama wandugu lazima tuangalie uongozi wake wajuu kama wanauwezo, hekima na busara, hivi ni vitu adimu chadema, afterall, wanahatarisha nchi pamoja na wananchi


Nadhani hapa Mkuu Bull inakuja na what i have always been judging as a FANATICISM! Unaongea kwa ushabiki wa Simba na Yanga bila core evidences, kule ktk ile thread ingine ume insist kuwa JK amefanikisha hii nchi ila hamkuleta reliable sources za argument yenu. Again and again hapo kwa blue hivi CCM ndio wana uwezo wa kuongoza?, wana hekima na Busara? na hawahatarishi nchi? hivi upo Dunia gani ambayo inakufanya usielewe what is happening in TZ? ama kweli binadamu tunatofautiana tena sana! good luck ktk dunia yako.
 
Chadema wanauongozi hivi karibuni ulionenekana kufanya maamuzu yasiyo na busara kama vile kutomtambua JK kama raisi wa TZ baadae wakabadili mawazo na hivi karibuni kukaidi amri ya wanausalama, kwa picha hii kweli hiki ni chama cha kukiamini? hasa ukizingatia swafu ya viongozi na utaalam wao kama hivi;

M/kiti Mbowe ni DJ

Katibu Slaa ni Mchungaji

Kunakila sababu ya kukiepuka chama hichi kinachotumia kanisa kupata suport ya wananchi kila siku wachungaji wanashindwa na kujitokezakutetea mchungaji mwenzao

Kweli chadema inabidi ithibitiwe vinginevyo itatupeleka pabaya wa Tanzania

Mmmhhh, thread inanuka kwelikweli!!!! Mkuu unaonaje ukimdhibiti kwanza mumeo na hayo yote yatafuata???
 
Chadema wanauongozi hivi karibuni ulionenekana kufanya maamuzu yasiyo na busara kama vile kutomtambua JK kama raisi wa TZ baadae wakabadili mawazo na hivi karibuni kukaidi amri ya wanausalama, kwa picha hii kweli hiki ni chama cha kukiamini? hasa ukizingatia swafu ya viongozi na utaalam wao kama hivi;

M/kiti Mbowe ni DJ

Katibu Slaa ni Mchungaji

Kunakila sababu ya kukiepuka chama hichi kinachotumia kanisa kupata suport ya wananchi kila siku wachungaji wanashindwa na kujitokezakutetea mchungaji mwenzao

Kweli chadema inabidi ithibitiwe vinginevyo itatupeleka pabaya wa Tanzania



33804_1763327966694_1343954606_31903400_5498153_n.jpg View attachment 20551View attachment 20552View attachment 20553 72207_1630755205240_1127403497_31793227_2798227_n.jpg
 
Natoa wito kwa wenye mapenzi mema na Chadema msijibu wala kuchangia thred hi ni ya kichokozi yenye lengo la provocation watu wakasirike watukane kuonyesha ushabiki wa kisiasa.

Hapo umenena mkuu na nakuunga mkono 100%
 
Kama JF itaendelea kuandikisha wanachama bila kuangalia CV zao basi wote tutaonekana wahuni tu. Siamini kama mtu na akili zake timamu anaweza kuchangia mawazo kama haya ya huyu ndugu anayejiita Bull. Ningemshauri huyu bwana afanye uchunguzi wa kina ili kujua CVS za viongozi wa juu wa CHADEMA kabla ya kutoa mauni yasiyo na kichwa wala mguu. Tusitumie itikadi na ushabiki wa kisiasa kuropoka mambo tusiyo yafahamu ukweli wake. Ni lazima kufanya uchunguzi wa kina na kujiridhisha na maoni tunayo yatoa kabla ya kuyatoa hadharani. Na hata kama ingekuwa kweli, udj sio kazi ni hobbie, unaweza kuwa profesa au dokta lakini kutokana na hobi ukaamua kuwa DJ, Mwanamuziki, Footboller etc. Na hata upadri pia unahitaji kisomo, kwani mapadre wengi ni madaktari wa philosofia yaani PHD kama alivyo Dr. Slaa.
Lakini pia tusimshangae sana huyu bwana inawezekana akili yake na jina vinafanana. " Bull" !!!!!!!!!!!!!
 
ww naona unaendeleleza fikra za rais wako mkwere za kupandikiza udini miongoni mwa wa tz. mawazo yako ni ya mtu mufilisi, na mtazamo wa ki taahira....bull...shit....!
 
Back
Top Bottom