Salvatory Mkami
Senior Member
- Apr 17, 2013
- 146
- 245
Haiwezekani kila kukicha kiongozi unalalamika badala ya kufanya maamuzi sahihi na kuwaonyesha njia wale unaowaongoza!
Wananchi walalamike, kiongozi ulalamike, Sasa hapo nani wa kuongozwa na nani, nani wa kumuongoza mwingine?!
Nakumbuka mwaka 1990 babu yangu aliwahi kuniambia kwamba: "Kuwaongoza wenye akili ni vigumu sana kuliko kuwaongoza wajinga" sikumwelewa kabisa lakini baadae nilipoelimika na kujua sifa za Kiongozi bora nilielewa alichokuwa akikimaanisha.
Wananchi walalamike, kiongozi ulalamike, Sasa hapo nani wa kuongozwa na nani, nani wa kumuongoza mwingine?!
Nakumbuka mwaka 1990 babu yangu aliwahi kuniambia kwamba: "Kuwaongoza wenye akili ni vigumu sana kuliko kuwaongoza wajinga" sikumwelewa kabisa lakini baadae nilipoelimika na kujua sifa za Kiongozi bora nilielewa alichokuwa akikimaanisha.