Uongozi bora ni utashi wa kiongozi aliyechaguliwa

Uongozi bora ni utashi wa kiongozi aliyechaguliwa

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
869
Reaction score
1,282
tulishakubaliana kuwa katiba ni kijitabu flani hivi, hivyo kisitusumbue sana. Uongozi bora ni utashi wa kiongozi aliyechaguliwa. Nadhani wote tunashuhudia yanayoendelea Marekani ambao ndiyo mama wa democrasia.

Tanzania tunaye rais mwenye utashi na leadership skills zake ziko juu kabisa
 
Back
Top Bottom