tulishakubaliana kuwa katiba ni kijitabu flani hivi, hivyo kisitusumbue sana. Uongozi bora ni utashi wa kiongozi aliyechaguliwa. Nadhani wote tunashuhudia yanayoendelea Marekani ambao ndiyo mama wa democrasia.
Tanzania tunaye rais mwenye utashi na leadership skills zake ziko juu kabisa
Tanzania tunaye rais mwenye utashi na leadership skills zake ziko juu kabisa